Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Watu wamelewa wanaenda kubeba jeneza halafu mnasema maiti imegomaNimepata full mkanda wa jinsi ambavyo Bi Suguna huko kijijini kwetu Nanjilinji alivyogoma kuzikwa. Maiti iligoma kuingia kaburini, wakaamua wairudishe kwake ili wafanye mpango wa kuchimba shimo karibu na nyumba yake. Cha ajabu hata kuingia ndani imegoma. Imevunja nyumba. Inafurahisha sana
View attachment 3004697
Tena ya kijinga tu yasiyo na faidaShida waafrica Kuna muda wanajua sana kutengeneza script
Alafu we dogo unatuonaje humu ndani? Umesema amekufa Jana na hii video ina zaidi ya miaka 3 naifahamu. Usiwe fala wa kudanganya watu ili upate likes as upo Facebook huko.Nimepata full mkanda wa jinsi ambavyo Bi Suguna huko kijijini kwetu Nanjilinji alivyogoma kuzikwa. Maiti iligoma kuingia kaburini, wakaamua wairudishe kwake ili wafanye mpango wa kuchimba shimo karibu na nyumba yake. Cha ajabu hata kuingia ndani imegoma. Imevunja nyumba. Inafurahisha sana
View attachment 3004697
Shida Nini๐Acha ubishi brother. Huyo ni Bibi mmoja huko kwetu, tunamuita Bi Suguna. Alikuwa mchawi konkodi, kafa jana, leo natumiwa video na brother kuwa kagoma kuzikika
Mkuu hii mbona comedy? Umetufanga kamba aisee๐๐คฃ๐๐คฃNimepata full mkanda wa jinsi ambavyo Bi Suguna huko kijijini kwetu Nanjilinji alivyogoma kuzikwa. Maiti iligoma kuingia kaburini, wakaamua wairudishe kwake ili wafanye mpango wa kuchimba shimo karibu na nyumba yake. Cha ajabu hata kuingia ndani imegoma. Imevunja nyumba. Inafurahisha sana
View attachment 3004697
Kama ulikuwa mchawi ukafa uchawi wako haufi?๐Acha ubishi brother. Huyo ni Bibi mmoja huko kwetu, tunamuita Bi Suguna. Alikuwa mchawi konkodi, kafa jana, leo natumiwa video na brother kuwa kagoma kuzikika
Humu hatuitani madogo, rudi kwanza fb. Humu tunaitana wakuu. Tuna utamaduni wa kuheshimu mkubwa kwa mdogoAlafu we dogo unatuonaje humu ndani? Umesema amekufa Jana na hii video ina zaidi ya miaka 3 naifahamu. Usiwe fala wa kudanganya watu ili upate likes as upo Facebook huko.
Nimekuita dogo na nitarudia tena kukuita hivyo kwa habari uliyoileta huku ukijua unadanganya watu kwa kusema imetokea kijijini kwenu na ni jana wakati video ni ya kitambo sana. Unajua utamaduni wa kuitana wakuu ulianzaje? Et me tell you, ulianzia kwakuleta habari konki zenye references na uwakirishaji wa kiweredi, walioleta habari hizo walipewa heshima ya kuitwa wakuu. Kwenye nyuzi hii hao watakaokuita wakuu watakuwa hawalielewi hiliHumu hatuitani madogo, rudi kwanza fb. Humu tunaitana wakuu. Tuna utamaduni wa kuheshimu mkubwa kwa mdogo
Igizo nzuri sanaNimepata full mkanda wa jinsi ambavyo Bi Suguna huko kijijini kwetu Nanjilinji alivyogoma kuzikwa. Maiti iligoma kuingia kaburini, wakaamua wairudishe kwake ili wafanye mpango wa kuchimba shimo karibu na nyumba yake. Cha ajabu hata kuingia ndani imegoma. Imevunja nyumba. Inafurahisha sana
View attachment 3004697
Za kuambiwa changanya na za kwako...
Kabisa.Watu wako na mbunu za utafutaji balaaZa kuambiwa changanya na za kwako...
Mungu wangu. Lisikieni hili Bunji๐๐Nimekuita dogo na nitarudia tena kukuita hivyo kwa habari uliyoileta huku ukijua unadanganya watu kwa kusema imetokea kijijini kwenu na ni jana wakati video ni ya kitambo sana. Unajua utamaduni wa kuitana wakuu ulianzaje? Et me tell you, ulianzia kwakuleta habari konki zenye references na uwakirishaji wa kiweredi, walioleta habari hizo walipewa heshima ya kuitwa wakuu. Kwenye nyuzi hii hao watakaokuita wakuu watakuwa hawalielewi hili
Lost soulNajivunia sana kuwa Muislamu, al hamdu liLlah