Uchaguzi 2020 Video: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aingia Mlimani City kununua mahitaji ya nyumbani

Uchaguzi 2020 Video: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aingia Mlimani City kununua mahitaji ya nyumbani

Halafu nikasikia watu wanapiga makofi wakati yeye anachochea
Uliwahi kusikia stori ya mfalme Juha?
Alikuwa akitembea uchi mitaani na watu wazima wanashangilia na kusujudu kwa nidhamu ya woga hadi mtoto mdogo alipokuja kumshtua!
 
kisa nyie mezoea kurekodiana mkiwa choon unadhani ni wote kocho wewe
 
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu

aya iwekeni kwenye ilani sasa maaana nyie ni wazee wa kusubiri kupewa cha kuongea
 
Hivi kwa kiingereza kinachochekesha kama hiki kwa mfano ungekuwepo ukumbini ungeachaje kushangilia na kupiga makofi
Kwa hali akutane na yule mshua wa BBC - HARDTALK itakuwaje. Au akutane na waandishi wa habari wa CNN maojiano itakuwaje. Safar za nje kususiwa zikk sabab nyingi kama hizo. Mliona Uganda Kaguta aliokoa Jahazi
 
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
😁😁inapendeza kwa kweli.
 
Kampeni hii, tutashuhudia maigizo mengi Sana, na hii yote inachagizwa na baadhi ya wagombea kuitendea haki fani yao ya Sanaa😄😄
 
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
 
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
Slavery mentality inakusumbua! Mwenzako yuko busy na kuiletea maendeleo ya taifa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
 
Back
Top Bottom