Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaUtoto!
Wajinga ni wengi kweli !Bhaghosha Sana Ila Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana
Huyu Alitakiwa Kufutwa Kazi Mapema Sana
Hivi ndivyo Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo (CCM), Paul Makonda alivyoingia Kahama Mkoani Shinyanga leo January 27,2024 akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake.
View attachment 2884641
Nini maoni yako?
[emoji329] AyoTv
😄😃😁😀Ila mganga wa bshite kiboko aisee jamaa kapona jela,
HILO NDIO LA KUSHANGAA.Nchi hii ni masikini sana aisee, shughuli za uzalishaji mali zipo katika small scale. Ona hiyo nguvu kazi inayopoteza muda hapo. Kwamfano hawa vijana wanaoimba mchaka mchaka hapo, wanalipwa shingapi? Tutegemee wakiwa wazee watakuwa wanajimudu kweli?
Hahaaa, jamaa bado yumo wewe na uchawa wako unapiga porojo tu huku mitandaoni.Bhaghosha Sana Ila Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana
Huyu Alitakiwa Kufutwa Kazi Mapema Sana
Suala siyo kuanguka hilo siyo hasara, hasara ni hilo greda kuacha kazi yake kwenda kufanya upumbavu.Mambo mengine ya kujitakia. Kwani hiyo greda ni ya usafiri??
Akianguka huko chini likimsaga.
Halafu tuanze kusema ni mipango ya Mungu sio.
Ungejua kazi za greda wala usingeonesha upumbavu wako hapa.Safi sana comredi Makonda, kila la kheri
Bahati mbaya hata wanaowaongoza nao wajingaBhaghosha Sana Ila Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana
Huyu Alitakiwa Kufutwa Kazi Mapema Sana
Mkuu kunywa maji mengi walau litre tatu kwa siku kupunguza sumu na chuki mwilini mwako,🤣🤣🤣🤣Ungejua kazi za greda wala usingeonesha upumbavu wako hapa.