Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba una wivu Sana ulishindwa kumsaidia Rais acha wenzako wacheze na beatChildish
wivu tu mbwa nyieHivi mnadhani ukichaa huwa unakuja tu ghafla. Mwenzenu akili siyo zake, halafu wazima wanamshangilia aliyepatwa na ukichaa. Kuna siku watu watakuja kudharau na kujiuliza, kwa nini hatuluweza kutambua tangu mwanzo, pale alipokuwa anafanya hili na lile?
Na nyinyi Wazaramo anawateka vpBashite again hakika mama kaona mbali jinsi ya kuwateka wasukuma.
Bora aende na team jiwe itamuokoa na sio team meno ya tembo haiuziki
Hivi huyu mshkaji havuti kweli?Hivi ndivyo Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo (CCM), Paul Makonda alivyoingia Kahama Mkoani Shinyanga leo January 27,2024 akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake.
View attachment 2884641
Nini maoni yako?
📹 AyoTv
Ushirikina tuUnajua sijaelewa, usafiri wa aina Mbali Mbali anaotumia Makonda kama Punda,Farasi,Trekta na Leo Grader anatakakutoa taswira Gani katika hizo ziara? Utamaduni wa Mahala husika? Uzalendo? Yaani sipati picha kabisa
Kuna chawa wa rangi zote na maeneo yoteHivi ndivyo Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo (CCM), Paul Makonda alivyoingia Kahama Mkoani Shinyanga leo January 27,2024 akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake.
View attachment 2884641
Nini maoni yako?
📹 AyoTv