Hata kama umeharibika ulitaka amdhalilishe marehemu?Mwili Umeharibika. Malasusa alipaswa tuu kusema ukweli. Marehemu wangapi wameangaliwa?
BinaadamuWalioandika biblia ni binadamu, ama unadhani waliandika malaika?
"Mara nyingi kunataratibu zikiendelea kwenye Kanisa watu wanafikili labda ndio sheria au utaratibu hatuna ulazima kwenye kanisa kufungua na kuoona mwili wa mwanadamu aliyelala, tuwe tunatazama tukiwa hai na sio kusubili binadamu aliyelala," Askofu Malasusa
View attachment 2903914
Queen Elizabeth jeneza halikufunuliwa[emoji209]
Wewe uliuona?Mwili wake ulilazwa Shambani kwake Balmoral kwa siku kadhaaa watu wale wa karibu na baadhi ya watu waliaga ulipoenda kwenye hizo parade hawakufungua tena
Utaratibu wa kibinadamu tuJe biblia imetuagiza kuufunua na kuuaga mwili wa marehemu? Au ni mafundisho ya kibinaadamu?