The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Wapi wameandika kwamba kabla ya ujio wa jeneza hakukua na kuaga mwili?Ni kibinadamu tu kabla ya kuja kwa jeneza kuaga hakukuwepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi wameandika kwamba kabla ya ujio wa jeneza hakukua na kuaga mwili?Ni kibinadamu tu kabla ya kuja kwa jeneza kuaga hakukuwepo.
naona kibinadamu zaidi kuliko kimungu[emoji419][emoji375]Nikiangalia makanisa makubwa haya na viongozi wakubwa sioni Mungu katika wao, naona kibinadamu zaidi kuliko kimungu!
Mwili Umeharibika. Malasusa alipaswa tuu kusema ukweli. Marehemu wangapi wameangaliwa?
Mkuu nimewahi kufiwa na baadhi ya Marehemu miili Yao Kutokana na ugonjwa iliharibika na hatukuwaaga kwa kufungua Jeneza. Tulipenda watu wabakie na taswira nzuri ya Marehemu enzi za uhai wake.Busara haiuzwi dukani mkuu, hivi umewahi kufiwa? Utajisikia vipi nikisimama nikasema mwili wa baba yako mzazi umeharibika sana na hatuwezi kufungua sanduku utajisikiaje?
Mbona mnakuwa kama wanyama?
Siyo kweli; last respect hufanyika kwa njia tofauti tofauti ikiwa ni pamoja na kuuona mwili wa marehemu kwa mara ya mwisho kwa kufungua jeneza au kwa kutumia jeneza leng mlango wa kioo.Leo ndo wanajua , wawaelimishe waunini wao mambo ya kuuaga mwili ni ya kishamba na hayapo popote
Siku uliyo onana nae au kuongea nae ndio ya mwishoKwa wale ambao hawajaonana nae kwa mara ya mwisho, mfano, wewe uko Kenya, ndugu yako akafariki na ukaja kumzika, hamjaonana muda hata miaka 2 ama 3, nafasi ya kuonana nae mara ya mwisho hukuipata, hapo una maoni gani mkuu.
Sio lazima azikwe pia, anaweza kukaushwa akawekwa hapo tukamuangalia.Siku uliyo onana nae au kuongea nae ndio ya mwisho
Suala la msingi mtu anapo fariki ni kuzikwa tu hayo ya kuangaliana sidhani kama yana tija
Sio mara ya kwanza kwa marehemu kuagwa pasipo kufunguliwa jeneza na wala haitakuwa ya mwisho kwa sababu mbalimbali, na mara nyingi tu sababu huwa hutolewa ya mwili kuharibika kwa sababu mbalimbali kama kifo cha maji, ajali mbaya ya moto, ndege ama barabara, ama joto (uhifadhi), Ni ubinadamu wetu hatujaumbwa kwa material yasiyoharibika.Busara haiuzwi dukani mkuu, hivi umewahi kufiwa? Utajisikia vipi nikisimama nikasema mwili wa baba yako mzazi umeharibika sana na hatuwezi kufungua sanduku utajisikiaje?
Mbona mnakuwa kama wanyama?
Alishasema yeye na CCM ni kitu kimoja."Mara nyingi kunataratibu zikiendelea kwenye Kanisa watu wanafikili labda ndio sheria au utaratibu hatuna ulazima kwenye kanisa kufungua na kuoona mwili wa mwanadamu aliyelala, tuwe tunatazama tukiwa hai na sio kusubili binadamu aliyelala," Askofu Malasusa
View attachment 2903914
Yes, ni sawa. Marehemu ana haki zake na siis ndo wakuzisimamia. Uuone mwioi ili iweje!? Vua nguo uuone mwili wako.Kwamba ni sawa kuaga pasi kuhakikisha unaaga nini!!
Yeah hii nayo ni sababu moja wapo hutumika ktk zoezi km hilo..uko sahihiAaha kuzunguka labda marehemu mwili umevimba sana huwa kawaida sana kutokana na madawa......inakua ngumu kuaga
Familia na yeye kuridhia...
Tutalifungua na tutakuaga hutakuwa na cha kutufanya.Mie itabidi nitoe semina elekezi, siku pumzi yangu imerudi ilipotoka, jeneza langu iwekwe picha tu juu hakuna kulifungua. Mambo yasiwe mengi.
Tutalifungua na tutakuaga hutakuwa na cha kutufanya.
ASANTE KWA KULIONA HILO, MUNGU AKUBARIKI SANA. 👏🏾Nikiangalia makanisa makubwa haya na viongozi wakubwa sioni Mungu katika wao, naona kibinadamu zaidi kuliko kimungu!
Walioandika biblia ni binadamu, ama unadhani waliandika malaika?Je biblia imetuagiza kuufunua na kuuaga mwili wa marehemu? Au ni mafundisho ya kibinaadamu?
Kwani la Nyerere lilifunguliwa?Halafu kweli,kwanini jeneza halifunguliwi tuone alivyolala