Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
nimesikia hiyo tetesiCCM wanasema eti Lissu anatumia uchawi,wamepeleka madai kwa NEC. teh teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimesikia hiyo tetesiCCM wanasema eti Lissu anatumia uchawi,wamepeleka madai kwa NEC. teh teh teh
Ngosha wa Madaraja aende akapumzike kwaoLissu anapata 79.5% ya kura.
Mbona nimeona mahali kuwa washatangaza anaenda garage siku 3 baada ya kesho .......................!!Jamani mtamfanya Jamaa arudishwe tena gereji walahi kwa kisingizio cha mapumziko.
Labda this time tukajaliwa Rais mwanamke kabla ya uchaguzi mkuuMbona nimeona mahali kuwa washatangaza anaenda garage siku 3 baada ya kesho .......................!!
Yaani huyo uliye mtaja nadhani anaweza pata hata shinikizo la damuKudadadekiiiii walah mahera na vibaraka wengine wakiona Hiv wanajinyea
Tuletee mkuuKile kipande cha kuzomea hakiko hapa ee?
Watu wamempokea vizuri badae akaanza kupiga umbea na mitusi bila kuwaambia utatuzi wa changamoto zao wakaona bure kabisa huyu wakazomea wee.
Kuiba kura ndo kunamdanganya jiwe.Dah kipi kinafanya Magu akataliwe kwa kiwango hiki? Mbona akina Pascal walidai jamaa hana haja ya kufanya kampeni 2020..
HahahaaMtu atarudi garage
Aahahaha ni noma jiniiiii ni shidaaCCM wanasema eti Lissu anatumia uchawi,wamepeleka madai kwa NEC. teh teh teh
Mkuu juzi nilikua na ndugu yangu ni katibu wilaya ccm sehem flani hapa tz Sasa katika maongezi tukafika siasa nikamwambia umeusikia wimbo mpya wa aiyaya chadema ,kweli aliusikiliza mpaka mwisho ,mwisho akasema ,hiki kijamaa kinatupeleka mpera mpera ,huyu ni Freemason, sio bule, so nakubali tetes Kama hizi ziponimesikia hiyo tetesi
😆😆😆😆Mkuu juzi nilikua na ndugu yangu ni katibu wilaya ccm sehem flani hapa tz Sasa katika maongezi tukafika siasa nikamwambia umeusikia wimbo mpya wa aiyaya chadema ,kweli aliusikiliza mpaka mwisho ,mwisho akasema ,hiki kijamaa kinatupeleka mpera mpera ,huyu ni Freemason, sio bule, so nakubali tetes Kama hizi zipo
Tayari gari la mkaa lipo garage. Kuanzia kesho hana kampeni.Gari ya mkaa itakata senta bolt tena.
Mnajitekenya mnacheka wenyewe. Endeleeni kujifariji. Mmesahau 2015 kulikua na mafuriko, yakaja yakawazoa wenyewe.Flayiova, esigiala, meli na bombadia ndio zinawafanya wawe na kiburi eti wamewafanyia wanachi maendeleo [emoji23][emoji23] subiri Oct 28 wataenda kuishi kwenye hizo bombadia na flayiova zao...
Mzee komwe akiona hivyo betri linakata motoMzee kipara akiona hivi anachanganyikiwa anatamani atume tena watu wa tukio la tarehe 7/9/2017