Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Siajaelewa yaan niwe na nishati ya kutsheleza halafu tena ni nunua kwa majirani kwa nini ni simuuzie huyo jiran
Umeuliza swali zuri na kiuledi.
Ni hivi, mahusiano ya nchi huwa yanatengenezwa na ties, mijawapi ya hizi ties ni pale unapoweza mkakubaliana kwamba, badala ya sisi kuja huku na kununua magari kwanini usije nchini kwetu ukafungua kiwanda cha ku assemble?
Au, tuna mpango wa kuanza kutengeneza simu, ila tutaangalie ni kampuni ya nchi gani tuipatie tender ya kututengenezea screen or power ACE. Hap unaowapatia hiyo tender unakiwa unajaribu kuwafanya waione thamani yako kwao, unawapatia soko la products zao, kwa kuwapatia soko unakuwa unawasaidia kujiimarisha kiuchumi. Ila, katika maeneo ambayo umeamua kuwapatia wayahudumie yanakuwa ni yale ambayo unayamudu lakini unakia umeamua ku trade kwa ajili ya mahusiano.
Mfani halisi nikupe, mteja mkubwa wa mbao za Canada ni US, mteja mkubwa wa umeme wa Canada ni US, mteja mkubwa wa maziwa ya Canada ni US, je unadhani ni kwa sababu US hawezi au hana technology ya kuzakisha umeme? Unaona jinsi US amemkamata Canada? Si sababu ya ujirani wa mipska, bali hizi economic ties ndiyo zimewafungamanisha. Je unadhani US hawana miti ya mbao?
 
Umeuliza swali zuri na kiuledi.
Ni hivi, mahusiano ya nchi huwa yanatengenezwa na ties, mijawapi ya hizi ties ni pale unapoweza mkakubaliana kwamba, badala ya sisi kuja huku na kununua magari kwanini usije nchini kwetu ukafungua kiwanda cha ku assemble?
Au, tuna mpango wa kuanza kutengeneza simu, ila tutaangalie ni kampuni ya nchi gani tuipatie tender ya kututengenezea screen or power ACE. Hap unaowapatia hiyo tender unakiwa unajaribu kuwafanya waione thamani yako kwao, unawapatia soko la products zao, kwa kuwapatia soko unakuwa unawasaidia kujiimarisha kiuchumi. Ila, katika maeneo ambayo umeamua kuwapatia wayahudumie yanakuwa ni yale ambayo unayamudu lakini unakia umeamua ku trade kwa ajili ya mahusiano.
Mfani halisi nikupe, mteja mkubwa wa mbao za Canada ni US, mteja mkubwa wa umeme wa Canada ni US, mteja mkubwa wa maziwa ya Canada ni US, je unadhani ni kwa sababu US hawezi au hana technology ya kuzakisha umeme? Unaona jinsi US amemkamata Canada? Si sababu ya ujirani wa mipska, bali hizi economic ties ndiyo zimewafungamanisha. Je unadhani US hawana miti ya mbao?
Uharo mtupu.
 
Wewe mlokole mbona muongo JF siyo sehemu ya porojo mnavyodanganywa na Mwaposa mnadhani kila mtu mtandanganya unaandika uharo bila ushihidi wowote. Weka data kama hivi.

The Israeli Defense Ministry has extended a contract with Dorad Energy, a power plant partially owned by a Turkish businessman with close ties to Turkish Presid… Source: Turkish Minute Erdoğan crony owns 25 pct of Israeli power plant supplying IDF: report - Turkish Minute
Huwa unasoma bila ya kuelewa, siku si nyingi utaelewa. Wewe unadhani hao ni wapumbavu wajiegemezi kwa Turkey kwa kitu ambacho hawakimydu? Unafikiri ni sawa na huko Tanzania?
 
Angekuwa anaweza asingerely kwenye kampuni ya turkey tena kwenye sector nyeti kama wizara ya ulinzi na idf
Nimekuuliza swali, Je ukischa hiyo 7% ya umeme anayonunua kutoka Turkey, je hizo 93% anazitoa wapi?
 
Huwa unasoma bila ya kuelewa, siku si nyingi utaelewa. Wewe unadhani hao ni wapumbavu wajiegemezi kwa Turkey kwa kitu ambacho hawakimydu? Unafikiri ni sawa na huko Tanzania?
Usiniltee fikra za kilokole.
 
Unafahamishwa Israel wananua umeme Utaruki unaleta mfano wa kipumbuvu kabisa ohoo Canada anauzoa mbao Marekani huu uharo wako nani anataka.
Kama hutaki kuinuka haulazimishwi, unaweza ukaendelea kuinama hivyohivyo, si umenogewa tayari
 
Kama hutaki kuinuka haulazimishwi, unaweza ukaendelea kuinama hivyohivyo, si umenogewa tayari
Huku kwenye mipasho ndiyo kwako jikite huko panakufaa sana, mambo sijui ya kuchambua unaandika gazeti refu uharo mtupu.
 

Attachments

  • IMG_3778.jpeg
    IMG_3778.jpeg
    360.6 KB · Views: 1
Sasa mbona hao quds wanajificha nyuma ya watoto na akina mama?! Hawana utu kabisa
Kwisha habari yako hamna ushahidi wa picha wala video inakuja na katuni kweli walokole wa JF wana vituko mnavaamini sanamu basi mnataka kila mtu aamini sanamu😀
 
Wanajeshi hamna huko Israel

Kashfa Kubwa 😲😲
Picha iliyovuja kutoka #Gaza inaonyesha wanajeshi wa mataifa ya Magharibi wakipigana pamoja na jeshi la Israel.‼️‼️‼️
Nilikuambia mwanzoni mwa vita kwamba wanaopigana huko #Gaza sio tu jeshi la Israeli, lakini pia mamluki na vikosi vya Magharibi, pamoja na #Amerika, #Uingereza, #Ufaransa, na #Ujerumani.


View: https://x.com/silentlysirs/status/1822563477262610789?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
WOTE YESU ANAWAPENDA MUNGU ALIYE HAI EPUKENI UCHOKOZI USIOKUWA NA TIJA KWENU PIA NAWAOMBA MUOKOKE MUMJUE MUNGU WA KWELI YEHOVA ATAWABARIKI
 
70 Israeli commandoes with some American and British special forces launched an operation against the Houthis.
Russian satellite surveillance picked them up and gave the information to Iran who in turn told the Houthis who are fierce warriors.
All 70 are dead.
Hehe

Kufa vitani kawaida sana, Yemen wanalia Trump asiingie madarakani wakijua Hakuna tena US kwa miaka 4, Wanalia kama watoto wadogo
 
Hehe

Kufa vitani kawaida sana, Yemen wanalia Trump asiingie madarakani wakijua Hakuna tena US kwa miaka 4, Wanalia kama watoto wadogo
Unaleta akili kwa Mwamposa Trump atafanya nini.
 
Na wao pia hawakuua Houthi hata mmoja.
Wamevamiwa ghafla kama kuku wale kuku wa kufuga.
How fragile is Israel 😄 🤣
Colonel anasema waliokufa ni waisrael commandos na special forces aisee ila Americans ni mercenaries pamoja na Waingereza 😅
Anaanza na kusema eti wametonywa na Russians kupitia Iran
 
Back
Top Bottom