Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Kwenye suala la biashara hutakiwi kuangalia upande mmoja. Je, wafanyabiashara na kampuni za Turkey ambazo zilikuwa zinaexport bidhaa zake Israel hazikuathirika? Je, watapata wapi wateja wengine wa kununua bidhaa kama Israel kwa haraka?
Siku mkijadili vitu bila mihemko ndo mtaelewa
Hiyo haikuwa hoja husika
 
Tatizo mnasoma bila kuelewa, hao wameandika ‘to suffer’ means wanapiga ramli. Kingine, hiyo 7% per cent is not everything kwao, bali ilikuwa ni kwa ajili ya mahusiano tu, Turkey akikata huo umeme Israel ataenda ku produce zaidi kwenye vyanzo vyake, Je Turkey ataupeleka wapi?
Kuna deals watu huingia ili tu kumfanya mwingine aione thamani yako kwake, siyo sababu una shida
Kwa
Tatizo mnasoma bila kuelewa, hao wameandika ‘to suffer’ means wanapiga ramli. Kingine, hiyo 7% per cent is not everything kwao, bali ilikuwa ni kwa ajili ya mahusiano tu, Turkey akikata huo umeme Israel ataenda ku produce zaidi kwenye vyanzo vyake, Je Turkey ataupeleka wapi?
Kuna deals watu huingia ili tu kumfanya mwingine aione thamani yako kwake, siyo sababu una shida
Pole sana
 
Serikali yao imeamua kuwaita vibaka ila hao ndo waingereza halisi na huo ndo msimamo wa raia walio wengi japi wananyamazishwa na kuitwa wabaguzi wa rangi na waharifu.

Halafu walichokuwa wanafanya ni kuharibu biashara za wageni ambao wengi wana asili ya Asia.
Endeleeni kuaminishana uongo, uislamu haupendwi na wenyeji. Wana tamaduni zao na wanajua ndo mwanzo wa kutawaliwa.
Hivi mfano wewe watu wakisema uandamane utaandamana ,siku zote wanaoandamana ni choka mbaya na waliopoteza matumaini
 

Attachments

  • Screenshot_20240810-223812_Chrome.jpg
    Screenshot_20240810-223812_Chrome.jpg
    454.4 KB · Views: 1
hizo ni imani siyo facts, the fact is israel anategemea viwanda vya turkey kwenye mahitaji yake ya kila siku, na hayo yamesemwa na waisrael wenyewe kupitia chombo chao cha habari, sasa wewe wa ileje unaingiza hisia, hapo ndio tatizo lilipo
Kwamba Israel hawezi kutengeneza makaratasi au kuzalisha umeme? Hiyo 93% nyingine ya umeme anaitoa wapi?
 
Kuna wakati ukiandika huwa nashangaa sana, waonekana ni mtu mwenye busara sema mazingira humfanya mtu kuongea vitu asivyokusudia.

Sikujui hunijui ila hayo ni maoni yangu
Wewe ongea upendavyo, kama ulivyosema "hunijuwi sikujuwi" huo ndiyo ukweli.

Au ndiyo walewale, limekupata?
 
Mbona unachuki hivyo na waisrael? Walikufanya nini?
Ni punguani peke yake ndiyo hawezi kuwachukia Waisrale yaani watu wanauwa watoto zaidi ya 15.000 na wanawake wanapiga mabomu shule unataka watu wawapende? Labda mashoga peke yake na mapunguani ndiyo wataendelea kuwapenda.
 
Ni punguani peke yake ndiyo hawezi kuwachukia Waisrale yaani watu wanauwa watoto zaidi ya 15.000 na wanawake wanapiga mabomu shule unataka watu wawapende? Labda mashoga peke yake na mapunguani ndiyo wataendelea kuwapenda.
Hiyo chuki muelekeze kwa hamas inayotumia raia kama ngao wakati wa vita.
Hamas wanashambulia halafu wanaenda kujificha nyuma ya kina mama.
 
Mbona Hao maiti kama ni waarabu, naona kwa nyuma kuna pickup pia imepigwa Bomu
 
Acha uongo wewe, upsnde wa umeme Israel inajiyosheleza, ila kwa ajili ya mahusiano ya kibiashara na Turkey imeamua kununua 7% ya umeme wake kutoka Turkey. Turkey akiamua kuukata itakula kwake, maana yeye ndiye atakayepoteza, siyo Israel sababu upande wa umeme yupo vizuri.
Biashara nyingine nazo ni za kimahusiano tu as win-win, Israel anauza Turkey, Turkey naye anauza Israel.
Wewe mlokole mbona muongo JF siyo sehemu ya porojo mnavyodanganywa na Mwaposa mnadhani kila mtu mtandanganya unaandika uharo bila ushihidi wowote. Weka data kama hivi.

The Israeli Defense Ministry has extended a contract with Dorad Energy, a power plant partially owned by a Turkish businessman with close ties to Turkish Presid… Source: Turkish Minute Erdoğan crony owns 25 pct of Israeli power plant supplying IDF: report - Turkish Minute
 
Wanaukumbi,

Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.

Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.

Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.

Mashenzi etc alahamdulilahi

Magaidi makubwa

Naomba Israel ifanye kweli imwage sumu haya mahayawaoni yasiyo na Mungu yafe yote
 
Hiyo chuki muelekeze kwa hamas inayotumia raia kama ngao wakati wa vita.
Hamas wanashambulia halafu wanaenda kujificha nyuma ya kina mama.
Propaganda za kishoga hizo zimeishapitwa kwa hiyo Hamas wanatumia watoto kama ngao mabomu yakirushwa yanawachagua watoto na kuwacha Hamas?

Wewe lazima utakuwa Upinde🌈
 
Wanaukumbi,

Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.

Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.

Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.

Hiyo ndio itakuwa fundisho la la Marekani na israil wasijaribu kwenda kupigana na Wa-hoothi watakufa sana .
 
Hiyo ndio itakuwa fundisho la la Marekani na israil wasijaribu kwenda kupigana na Wa-hoothi watakufa sana .
Marekani na Israel vita vya ardhini hawezi kabisa kuna majinga humu JF uwa yanaamini Marekani na Israel hawawezi kupigwa, wanasema hawa Yemen masikini wana njaa angalia walichowafanya.
 
Propaganda za kishoga hizo zimeishapitwa kwa hiyo Hamas wanatumia watoto kama ngao mabomu yakirushwa yanawachagua watoto na kuwacha Hamas?

Wewe lazima utakuwa Upinde🌈
Wakiendea kutumia raia wa palestina kama human shield watashughulikiwa bila huruma
 

Attachments

  • IMG_4312.jpeg
    IMG_4312.jpeg
    1.1 MB · Views: 1
Marekani na Israel vita vya ardhini hawezi kabisa kuna majinga humu JF uwa yanaamini Marekani na Israel hawawezi kupigwa, wanasema hawa Yemen masikini wana njaa angalia walichowafanya.
Ingekuwa hawawezi ground offensive wasingeifanya gaza vile ilivyo sasa hivi
 
Ni punguani peke yake ndiyo hawezi kuwachukia Waisrale yaani watu wanauwa watoto zaidi ya 15.000 na wanawake wanapiga mabomu shule unataka watu wawapende? Labda mashoga peke yake na mapunguani ndiyo wataendelea kuwapenda.

Tena Palestina wapigwe mchana usiku, Mfalme Daudi akirudi atawashangaa wanavyopiga polepole
 
Ingekuwa hawawezi ground offensive wasingeifanya gaza vile ilivyo sasa hivi
Gaza kila wakishuka wanauliwa Gaza hawapigani vita vya ardhini wanapiga mabomu kwa ndege na drone.

Ni aibu Jeshi la Israel lina kila kitu na bado linapata msaada kutoka Marekani na Ulaya pesa na silaha wakati Hamas wana makombora ya kienyeji yakutengeneza Tabata ya Gaza hiyo Gaza yenyewe inazidiwa na Kigamboni mpaka sasa hawa mabwana zenu wamepoteza zaidi ya Wanajeshi 10.000 wanamgambo wa Hamas hawazidi hata 30.000 wewe upo Makete hujui kinachotokea Gaza.

Mabwana zako wanasema wamaishika Gaza yote lakini hawajui mateka walipo.

Wamebakia kushambulia shule na hospitali wakisema Hamas wanaficha silaha wakiambiwa walete ushahidi hawana, ndiyo maana jumuiya ya Ulaya wameamua kutoa pesa za misaada kwa Palestina baada ya kuona Israel wamechemka wanapewa kila kitu.
 
Gaza kila wakishuka wanauliwa Gaza hawapigani vita vya ardhini wanapiga mabomu kwa ndege na drone.

Ni aibu Jeshi la Israel lina kila kitu na bado linapata msaada kutoka Marekani na Ulaya pesa na silaha wakati Hamas wana makombora ya kienyeji yakutengeneza Tabata ya Gaza hiyo Gaza yenyewe inazidiwa na Kigamboni mpaka sasa hawa mabwana zenu wamepoteza zaidi ya Wanajeshi 10.000 wanamgambo wa Hamas hawazidi hata 30.000 wewe upo Makete hujui kinachotokea Gaza.

Mabwana zako wanasema wamaishika Gaza yote lakini hawajui mateka walipo.

Wamebakia kushambulia shule na hospitali wakisema Hamas wanaficha silaha wakiambiwa walete ushahidi hawana, ndiyo maana jumuiya ya Ulaya wameamua kutoa pesa za misaada kwa Palestina baada ya kuona Israel wamechemka wanapewa kila kitu.
Wewe endelea kubwabwaja nyuma ya keyboard ni haki yako, ila magaidi hapo Gaza yanajua shughuli ya IDF pamoja na ShinBet.
 
Back
Top Bottom