Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Wanaukumbi,

Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.

Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.

Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.

Aisee hatari ,hawasemi
 
Mtu anayejua dini na mungu anaweza kumwita binadamu mungu? Mtu anayejua dini anaweza kusema kuna mungu watatu?
Embu acheni mambo yenu
Wewe unajua kuhusu habari israel kuliko waisrael wenyewe ambao wanamiliki times of israel
Mungu baba, mwana na roho mtakatifu.
 
Tena Palestina wapigwe mchana usiku, Mfalme Daudi akirudi atawashangaa wanavyopiga polepole
Larry C. Johnson aliyekuwa Mchambuzi wa Intel wa CIA :

Kutoa maelezo juu ya operesheni ambayo wanajeshi wa Israeli na Blackwater walishiriki Yemen, na wote waliuawa katika shambulio la kuvizia lililopangwa vizuri na Houthis.
 
Kwani maiti zimeonesha pia vitambulisho vyao kuwa ni wa Yemen? Mtu yeyote aweza kuedit na kupachika maneno yake hapo na kudai ni Afghanistan, ni Marekani, ni Sudan ni Israel n.k.
Mkuu wewe unaumia nini hawa wauaji wa watoto wakilipwa kwa wanachokifanya Gaza.
 
Tena Palestina wapigwe mchana usiku, Mfalme Daudi akirudi atawashangaa wanavyopiga polepole
70 Israeli commandoes with some American and British special forces launched an operation against the Houthis.
Russian satellite surveillance picked them up and gave the information to Iran who in turn told the Houthis who are fierce warriors.
All 70 are dead.
 
Wanaukumbi,

Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.

Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.

Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.

Siku ikatokea Muarabu au muislam kaweza waua IDF 70 Allah atawapa Mtume mpya
 
Ni punguani peke yake ndiyo hawezi kuwachukia Waisrale yaani watu wanauwa watoto zaidi ya 15.000 na wanawake wanapiga mabomu shule unataka watu wawapende? Labda mashoga peke yake na mapunguani ndiyo wataendelea kuwapenda.
Israel imechapisha majina ya magaidi wa hamas waliouawa kwenye lile shambulizi la shule magaidi wenu wa hamas wanajificha maeneo ya shule wakishambuliwa mnakuja kulia lia watoto wanauawa
 
Propaganda za kishoga hizo zimeishapitwa kwa hiyo Hamas wanatumia watoto kama ngao mabomu yakirushwa yanawachagua watoto na kuwacha Hamas?

Wewe lazima utakuwa Upinde[emoji304]
Hamas waliouawa kwenye lile shambulizi idf imetoa majina yao
 
Huyo hana anachojua ila anaandika alichokisoma, siyonalichoelewa au anachokijua. Hata huo umeme Israel inainunua Turkey ni 7% na siyo kama hajitosheleza bali ni sababu zeea kimahusiano tu na hapo Turkey ndiye anaibembeleza hiyo biashara
Siajaelewa yaan niwe na nishati ya kutsheleza halafu tena ni nunua kwa majirani kwa nini ni simuuzie huyo jiran
 
Turkey hawahitaji chochote kutoka israel ndio maana wameamua kufuta biashara zote na israel ndio anaolalamika
Kama ulikuwa hujui israel anategemea sana viwanda vya turkey ,na turkey wala hategemei chochote kutoka israel maana ina viwanda vingi na imejitosheleza, na israel akisema aagize kutoka china au nchi nyingine red sea hapapitiki
Turkey ni nch ya ulaya lakini ina very vost effective kwenye product zake with high quality wayahudi wakitaka kununua kutoka kwa usa watakoma maana bidhaa ile ile itakuwa inauzwa karibia mara 3 zaidi
 
Israel imechapisha majina ya magaidi wa hamas waliouawa kwenye lile shambulizi la shule magaidi wenu wa hamas wanajificha maeneo ya shule wakishambuliwa mnakuja kulia lia watoto wanauawa
Akichapisha hata jina la baba yako utakuja hapo kubweka pia
 
Israel imechapisha majina ya magaidi wa hamas waliouawa kwenye lile shambulizi la shule magaidi wenu wa hamas wanajificha maeneo ya shule wakishambuliwa mnakuja kulia lia watoto wanauawa
Hizo propaganda za mashoga peleka kwenye vigango.

Israel wamesema wameshambulia shule sababu kuna silaha za Hamas wameambiwa waonyeshe hizo silaha wanazunguka.

Mapunguani kama nyie na mashoga ndiyo wanakubaliana na huu upuuzi.

Israel walishasema Makao Makuu ya Hamas ni Shafaa Hospital na Mateka wamaefichwa huko nikuilize wewe punguani hao mateka wakuwapi baada ya kuvamia hospital.
 
Back
Top Bottom