Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Mkiambiwa makomando wa Israel ni moto wa kuotea mbali, yaani hapa kama movie, jamaa wameicheza kiaina aki ya nani nimefurahi hadi naumwa, hii itaandikwa kwenye vitabu na movie zitakua shot nyingi, makamu wa magaidi pia amekamatwa hai Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas.

The Flotilla 13 elite unit was deployed to the area surrounding the Gaza security fence in a joint effort to regain control of the Sufa military post on October 7th. The soldiers rescued around 250 hostages alive. 60+ Hamas terrorists were neutralized and 26 were apprehended—including Muhammad Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas southern Naval Division.



Inside Edition
 
Kwa taarifa zilizoko huko Duniani mateka walikuwa ni 100 tu sasa hao 150 wametokea chaka gani
... kondoo 1 aliyeko kwenye makanywa ya fisi ni wa thamani kuliko 99 ulio nao. Hiyo ndio filosofi inayoongoza operesheni za uokoaji za Israel toka nyakati za kijana mdogo Daudi akichunga hupigana na simba hadi kumwua ili kumwokoa kondoo aliyeporwa!

Mna akili lakini hamwezi kufahamu mambo haya enyi wana wa haramu!
 
... kondoo 1 aliyeko kwenye makanywa ya fisi ni wa thamani kuliko 99 ulio nao. Hiyo ndio filosofi inayoongoza operesheni za uokoaji za Israel toka nyakati za kijana mdogo Daudi akichunga hupigana na simba hadi kumwua ili kumwokoa kondoo aliyeporwa!

Mna akili lakini hamwezi kufahamu mambo haya enyi wana wa haramu!
Wana macho lkn hawaoni pia
 
Back
Top Bottom