Mpaka mtaita maji ma, namba zinaelekea kugonga 20,000
kazi kuvaa mikanzu tu
Kushughulija na uzi wa kizushi ni matumizi mabaya ya muda na bando!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka mtaita maji ma, namba zinaelekea kugonga 20,000
kazi kuvaa mikanzu tu
Wanajeshi hao waliwaokoa mateka wapatao 250 wakiwa hai.Kushughulija na uzi wa kizushi ni matumizi mabaya ya muda na bando!
Hahahah msome Mr uharo hapa chini.Israel ni taifa teule jamani..wacheni kubishana na Mungu mtaangamia
Wanajeshi hao waliwaokoa mateka wapatao 250 wakiwa hai.
😂😂😂😂😂😂
Dogo,kulia kwenye hii clip ni ukuta uliojengwa na Israel.... kuna kenge mmoja humu jf alikebehi kama waliokoa mateka wa Entebe wanasubiri nini kwenda kuokoa mateka wa Gaza? Nadhani atakuwa amepata ujumbe sawia!
Angalia tarehe ya Uzi.Dogo,kulia kwenye hii clip ni ukuta uliojengwa na Israel.
Mbele ya hii screenshot ni mnara WA ukaguzi WA ukuta.
Turudi kwenye madai Yako,mateka watafichwa mpakani kati ya Gaza na Israel?View attachment 2839752
Yani hadi raha.Mkiambiwa makomando wa Israel ni moto wa kuotea mbali, yaani hapa kama movie, jamaa wameicheza kiaina aki ya nani nimefurahi hadi naumwa, hii itaandikwa kwenye vitabu na movie zitakua shot nyingi, makamu wa magaidi pia amekamatwa hai Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas.
The Flotilla 13 elite unit was deployed to the area surrounding the Gaza security fence in a joint effort to regain control of the Sufa military post on October 7th. The soldiers rescued around 250 hostages alive. 60+ Hamas terrorists were neutralized and 26 were apprehended—including Muhammad Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas southern Naval Division.
View attachment 2839628
View attachment 2839642
Inside Edition
Muwekee waziwazi kwamba WAMEUAWA au wameuliwa au Umauti umewafika.Wamekatishwa moto
Kushughulija na uzi wa kizushi ni matumizi mabaya ya muda na bando!
Ninakazia:
"Kushughulija na uzi wa kizushi zenye 'mihemko ya bangi mbichi' ni matumizi mabaya ya muda na bando!"
Mungu wa ale ni mkuu kuzidi wenu huyo Biden asema yeye ni Mzayuni, hivyo mnalo enyi mnaotaka kuua Wayahudi wote
Kama bandiko lako hili:
Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa
Ni ushuzi, bila ya shaka na mengine yote ni ushuzi mtupu!
Mungu wa wale ni mkuu kuzidi wenu huyo Biden asema yeye ni Mzayuni, hivyo mnalo enyi mnaotaka kuua Wayahudi wote
Mungu wa wale ni mkuu kuzidi wenu huyo Biden asema yeye ni Mzayuni, hivyo mnalo enyi mnaotaka kuua Wayahudi wote
🤣🤣🤣🤣🤣... kuna kenge mmoja humu jf alikebehi kama waliokoa mateka wa Entebe wanasubiri nini kwenda kuokoa mateka wa Gaza? Nadhani atakuwa amepata ujumbe sawia!