Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Israel ni taifa teule jamani..wacheni kubishana na Mungu mtaangamia
Hahahah msome Mr uharo hapa chini.

Mkiambiwa makomando wa Israel ni moto wa kuotea mbali, yaani hapa kama movie, jamaa wameicheza kiaina aki ya nani nimefurahi hadi naumwa, hii itaandikwa kwenye vitabu na movie zitakua shot nyingi, makamu wa magaidi pia amekamatwa hai Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas.
😂😂😂😂😂🤣🤣
 
... kuna kenge mmoja humu jf alikebehi kama waliokoa mateka wa Entebe wanasubiri nini kwenda kuokoa mateka wa Gaza? Nadhani atakuwa amepata ujumbe sawia!
Dogo,kulia kwenye hii clip ni ukuta uliojengwa na Israel.

Mbele ya hii screenshot ni mnara WA ukaguzi WA ukuta.

Turudi kwenye madai Yako,mateka watafichwa mpakani kati ya Gaza na Israel?
Screenshot_20231211-194054.png
 
Mkiambiwa makomando wa Israel ni moto wa kuotea mbali, yaani hapa kama movie, jamaa wameicheza kiaina aki ya nani nimefurahi hadi naumwa, hii itaandikwa kwenye vitabu na movie zitakua shot nyingi, makamu wa magaidi pia amekamatwa hai Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas.

The Flotilla 13 elite unit was deployed to the area surrounding the Gaza security fence in a joint effort to regain control of the Sufa military post on October 7th. The soldiers rescued around 250 hostages alive. 60+ Hamas terrorists were neutralized and 26 were apprehended—including Muhammad Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas southern Naval Division.
View attachment 2839628
View attachment 2839642

Inside Edition
Yani hadi raha.
 
Back
Top Bottom