Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Sijui kweli aliiba ama wanamsingizia wamuibie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mkuu. Halafu ndo mchina pekee wengine ni waafrika.Asante
Sijui kweli aliiba ama wanamsingizia wamuibie?
Mafrika ni mwafrik tu! Kuna namna ya kudeal na hizi isues na siyo kupigna ndani ndege. Muhogo ni muhogo tu hata ukautia nazi! Kosa kubwa alilofanya Mungu ni kumuumba mwafrikaKuna ndege si za kupanda. Haya mambo huyakuti KLM au Emirates
Ndiyo maana binafsi siipendi Ethiopian Airways/Airlines...wako too localKuna ndege si za kupanda. Haya mambo huyakuti KLM au Emirates
Na ndiyo binaadamu wa kwanza hapa duniani sema tu dini za michongo ndiyo zimemuharibu akili mwafrika. Kabla ya hizi dini tulikuwa wastaarab sana na tulikuwa hatutengani kwa kubaguana.Mafrika ni mwafrik tu! Kuna namna ya kudeal na hizi isues na siyo kupigna ndani ndege. Muhogo ni muhogo tu hata ukautia nazi! Kosa kubwa alilofanya Mungu ni kumuumba mwafrika
Ujawahi kuibiwa wewe.Mafrika ni mwafrik tu! Kuna namna ya kudeal na hizi isues na siyo kupigna ndani ndege. Muhogo ni muhogo tu hata ukautia nazi! Kosa kubwa alilofanya Mungu ni kumuumba mwafrika
Kabisa popo ndio wezi wanampakazia mchinaUchunguzi ufanyika huenda Wanaijeria ndo wezi
Wavimba macho wako vizuri kwenye hiyo sektaSijui kweli aliiba ama wanamsingizia wamuibie?
Webare Abaganda bange...
Mbona hakujitetea kwa zile Kungfu au Karate zao, hata hivyo kuibiwa kwenye ndege ni uzwazwa, abiria linda mali yako.
Hivi hiyo ndege haikua na air marshal, maana kawaida kila ndege huwa na mmoja au wawili ambao husafiri kama abiria wa kawaida ila kimya kimya, husaidia kwenye matukio kama haya.
Nani alikudanganya ?? Race nyeupe ndo ya Kwanza duniani huwa mnajifariji kijinga tuuu , aliyekutangulia kakutangulia tuu, huwez kuta ngozi nyeupe wanafanya ujinga wa namna hii tena kwenye ndege, Africa Sisi Akili tulinyimwaNa ndiyo binaadamu wa kwanza hapa duniani sema tu dini za michongo ndiyo zimemuharibu akili mwafrika. Kabla ya hizi dini tulikuwa wastaarab sana na tulikuwa hatutengani kwa kubaguana.
Hakuna lolote nyie ngozi nyeupe mnajikuta, mnawakilishwa na wachache wavaojielewa nyiewengine koko tu.Nani alikudanganya ?? Race nyeupe ndo ya Kwanza duniani huwa mnajifariji kijinga tuuu , aliyekutangulia kakutangulia tuu, huwez kuta ngozi nyeupe wanafanya ujinga wa namna hii tena kwenye ndege, Africa Sisi Akili tulinyimwa
Are you serious? Umeshawahi jiuliza mwanadamu wa kwanza aligundulika ama kupatikana wapi? Wacha ujinga, Waafrika ndiyo binadamu wa kwanza hapa duniani na Mungu aliwaumba kutokana na mfano wake, upende usipende.Nani alikudanganya ?? Race nyeupe ndo ya Kwanza duniani huwa mnajifariji kijinga tuuu , aliyekutangulia kakutangulia tuu, huwez kuta ngozi nyeupe wanafanya ujinga wa namna hii tena kwenye ndege, Africa Sisi Akili tulinyimwa