Video: Mchina apokea mkong'oto kutoka kwa waganda ndani ya Ethiopian Airlines ikiwa angani kwa kushukiwa kuwaibia pesa

Video: Mchina apokea mkong'oto kutoka kwa waganda ndani ya Ethiopian Airlines ikiwa angani kwa kushukiwa kuwaibia pesa

sehemu yoyote watu weusi wakishajanza kinachofuata ni fujo.
 
Mtu smart apandi Ethiopian airlines kwa safari za Ulaya au Asia. Watu toka west africa ni very trouble angani
 
Tukio kama hilo likitokea kwa watu weupe. Rubani ata make emergency landing na mtuhumiwa kukamatwa na polisi. Halafu hao waliompiga huyo mshukiwa nao watakamatwa na kufunguliwa mashtaka kwa kuchukua sheria mkononi.
Wacha hizo wachina wangapi wamewapiga vibao watanzania kwenye ajira zao za uchwara na maisha yao yanaendelea!,mchina anaua tembo zaidi ya 500 eti jela miezi 5,mzawa kosa dogo 30yrs jail!,na kwao hawa jamaa ni washenzi tu, welldone wahabeshi
 
Nani alikudanganya ?? Race nyeupe ndo ya Kwanza duniani huwa mnajifariji kijinga tuuu , aliyekutangulia kakutangulia tuu, huwez kuta ngozi nyeupe wanafanya ujinga wa namna hii tena kwenye ndege, Africa Sisi Akili tulinyimwa
Kwa hiki ulichoandika hapa, ninakubali kuwa kuna waafrika wa aina yako mlinyimwa akili. Kwakua umejitambua, anza leo kutafuta uvumbuzi wa hilo tatizo.
 
Mwafrika ni kiumbe ambacho hakikutakiwa kabisa kuwepo duniani
Kuna namna nyingi za kujitoa uhai kama unaamini haukutakiwa kuwepo hapa duniani, sio unandika hapa kufurahisha watu tu.

Yaishi maneno yako jitoe uhai, otherwise una shida ya ubongo.
 
Back
Top Bottom