Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo

wagotheleopardskiller,
Mimi siyo mshabiki,nimebase kwenye video kama evidence labda kama wewe una evidence ya ziada ilete, labda inaweza nishawishi.Kwanza kilichonishitua video clip ina sekunde 16, kufuatilia jamaa wamechuka tu hako ka kipande maana yake wamewanyima watu haki ya kujua kilichotokea. Wewe utakuwa ni mshabiki ila mimi hapana ndugu.
 
Hebu tuambie uhusiano uliopo baina ya mfano wake na mjadala ulokuwa mezani.

Hebu tuite nyekundu, nyekundu na si nyeupe.

Mimi kama mwana CCM sikubaliani na kauli za namna hiyo hata kidogo, maneno huumba. Tukiambiwa Chama chetu ni cha mauaji tutakataa?

Mimi niseme tu kuwa HUO NI MSIMAMO NA MTAZAMO WAKE NA SIO MTAZAMO AU MSIMAMO WA CHAMA.

Naomba watu wasiihukumu CCM kwa makosa ya mtu mmoja mmoja maana na wao ni binadamu kama walivyo wengine, wanakosea na kupatia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu hutenda kwa wakati. Wewe ni nani kushangilia Zitto Kabwe kuuliwa?
 
.

Jr[emoji769]
 
Bro Return Of Undertaker, njoo huku uongeze sauti kwa hizo aya tatu ulizokemea pepo liitwalo Getrude Lwakatare!! Mungu amesikia sala zako
 
Mkuu Pascal Mayalla , maandishi yako hayapotei bure. Njoo hapa tena utoe ufafanuzi kwa kuwa tayari ulichokisema kuhusu kauli ya kumdhuru ZZK imeshamgeukia huyu Mjasiriamali wa Injili Lwakatare.

Hongera kwa vision uliyo nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…