Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Hali ilivyo sasa hakuna kwa kukimbilia ukienda kanisani unakutana na kina lakwatare na mzee wa kawe aliyefukia watu ishirini huko moshi kijiji cha majengo..
Ukirudi serikalini mzee baba hashikiki hasikii la bara wala la pwani...bungeni ndo huko wanajadili live kumuua mbunge mwenzao..nje nako bun zinaendelea na zitazidi kuendelea...
Huenda labda mwisho wa Tanzania ya asali na maziwa umefika ...now ni kuishi kwa password
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukirudi serikalini mzee baba hashikiki hasikii la bara wala la pwani...bungeni ndo huko wanajadili live kumuua mbunge mwenzao..nje nako bun zinaendelea na zitazidi kuendelea...
Huenda labda mwisho wa Tanzania ya asali na maziwa umefika ...now ni kuishi kwa password
Sent using Jamii Forums mobile app