Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo

Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo

R.i.p Mama Mchungaji kanisa nashauti akabidhiwe bulembo.
 
Kwa kweli inabidi kama kuna wauaji wachangiwe tu pesa na hawa wabunge wa CCM maana kujenga hoja hawawezi tena. Zitto kaandika barua katoa hoja zimeeleweka na World Bank na nyie jibuni basi mpangue hoja zake, mnashindwa nini? Mnakimbilia kuua ua tu kama mlivyotaka kumfanya Lissu

So pathetic mnadhani ni Zitto peke yake, kulikuwa na pettition online ya hilo suala na World Bank walikuwa tagged. Ili kuwa na sigantures zaidi ya 10,000 mimi mwenyewe niliandika emails, World Bank ilikuwa flooded na emails zikilalamika udikteta wa awamu ya tano.

View attachment 1346062

Endeleeni kulala tu maana mmejaza vilaza kwenye hilo chama chakavu.

Mwisho HONGERA sana mama mchungaji nimeona unakenuaaaaa uliposikia WITO WA ZITTO KABWE KUUULIWA no wonder wanasemaga ulizika makondoo hai kwenye geti la St. Mary's School na kanisani kwako FULL MAKAFARA ya damu.

View attachment 1344066
Sasa amekufa yeye kama mwenzake aliyeshindwa hata kutoa pole ya kinafiki kwa lissu alipotandikwa mvua ya risasi. Karma always find its way back 😂
 
Zzk bana hoja ya buzwagi ilimletea shida bungeni matokeo yake yule pilato mpendekeza hoja ya adhabu akaishia kua mlemavu wa mkono mmoja,mpk leo bunge anaishia kuliona kwenye video tu likatumwa jini kumnyonya damu Zzk iringa,maskin jini likapotea njia likaondoka na Mama Salome Mbatia bila hatia....
 
Mungu hadhihakiwi, yupo wapi Mama Rwakatare hivi sasa?

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
yaani mwendazake na group lake wamenipa funzo sana jinsi ya kuishi kwenye hii dunia. Nazidi kuamini Mungu yupo na hajali lolote lile kwa yeyote yule. Yaan hili group la akina mwendazake siamin kama limepukutika namna hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom