VIDEO: Msanii mchekeshaji wa Kenya, Erick Omondi amuigiza Rais John Magufuli (How to be)

VIDEO: Msanii mchekeshaji wa Kenya, Erick Omondi amuigiza Rais John Magufuli (How to be)

Hajampatia hata kidogo,pili wanawivu Sana ,ndo hivyo tena magufuli yupo tanzania
 
Huu ni uchochezi>>Hahahaaaa,tangazo limedhaminiwa na Kenya Airways[emoji23].....Any way eti Chama cha mapinduzi ...kimepindua au kimepinduliwa??? "Wananchi"..Kimepinduliwaaaaaaaaaaaa...
 
Hii haijawa funny kama zile za Akothee na Diamond,hakufanya research vizuri.
 
Idea nzuri ila hakufanya research au huenda kenya hawasikii vituko anavyofanya magufuli ndo mana wanampenda sana
 
Unapokuwa unaigiza unafanya usani.... Jaribu igiza sauti ya mtu alivyo inaleta uhusiano mzuri na ujumbe unafika haraka kwa hadhira.
 


Naomba waziri anayehusika atusaidie. Huu ni udhia. Watanzania tunamhashimu mkuu wetu halafu wao wanafanya utani.
 


Naomba waziri anayehusika atusaidie. Huu ni udhia. Watanzania tunamhashimu mkuu wetu halafu wao wanafanya utani.

Mihemuko mingine ya kitoto kweli, sasa hapo dhihaki iko wapi.?
 
Kama huyo mchekkeshajii angelikuwa Tanzaniia biila shakka saa hizii angekuwa Segerea au keshalipa mliioni saba.
Mimi sijaona kichekesho Bali naona udhia....ni kama katudharau sijaipenda
 
kwamba magufuli a hajui kiinglish kamateni hako ka omondi peleka segerea akaisome namba
 
Back
Top Bottom