Polisi awe uniformed au kiraia ni lazima afuate TARATIBU.
Katika mazingira ya kukamatwa kina Roma mambo yafuatayo yalitakiwa yakamilike kabla ya wao kukubali wito/kuingia kwenye gari.
1 Wahusika waliofika studio walipaswa kujitambulisha--ni kina nani, na wamefuata nini.
2.Walipaswa kueleza wanampeleka wapi Roma na wenzake.
3.Roma na wenzake walikuwa na haki ya kuwasiliana na ndugu(mke,mzazi, ndugu, wakili, bosi..) zao kuwaeleza "ugeni" walioupata na kinachoendelea.
4.Kabla ya vifaa vya studio kuchukuliwa mwenye studio/mwenye mali alipaswa kutaarifiwa. Hawezi kuja mtu mahali umeajiriwa halafu akachukia vitu vya mwenye mali na wewe uliyekabidhiwa mali hizo uruhusu jambo hilo bila kupata baraka za mwenye mali.
5.Yeyote aliyebaki studio alipaswa kunakili namba za gari iliyoondoka na kina Roma.
6.Kama issue ilikuwa ni kuhitajika kituo cha Polisi, Roma na wenzake walikuwa na haki ya kuomba waende kituoni kwa kutumia usafiri wao wenyewe.
Katika mazingira ya kukamatwa kina Roma mambo yafuatayo yalitakiwa yakamilike kabla ya wao kukubali wito/kuingia kwenye gari.
1 Wahusika waliofika studio walipaswa kujitambulisha--ni kina nani, na wamefuata nini.
2.Walipaswa kueleza wanampeleka wapi Roma na wenzake.
3.Roma na wenzake walikuwa na haki ya kuwasiliana na ndugu(mke,mzazi, ndugu, wakili, bosi..) zao kuwaeleza "ugeni" walioupata na kinachoendelea.
4.Kabla ya vifaa vya studio kuchukuliwa mwenye studio/mwenye mali alipaswa kutaarifiwa. Hawezi kuja mtu mahali umeajiriwa halafu akachukia vitu vya mwenye mali na wewe uliyekabidhiwa mali hizo uruhusu jambo hilo bila kupata baraka za mwenye mali.
5.Yeyote aliyebaki studio alipaswa kunakili namba za gari iliyoondoka na kina Roma.
6.Kama issue ilikuwa ni kuhitajika kituo cha Polisi, Roma na wenzake walikuwa na haki ya kuomba waende kituoni kwa kutumia usafiri wao wenyewe.