ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Tutapiga ambush mda sio mrefu muende mkahutubie bunge la SomaliaPutini kwisha habari yake jana karudishwa nyuma na kufurushwa West Ukraine 100kilometers, nadhani kile kibonyezo chake cha nuclear anakiweka tayari ground war ameshindwa mbaya sana, Ukrane baada ya ku-defend sasa wanashambulia wao na wapo kwenye maeneo ya 18
Hivyo ni vyeo watapandishwa wengineHaijatokea kwa muda mrefu kwa taifa kupoteza majenerali kama Urusi, ni hatari sana na hasara kubwa na aibu kuu....
wenywe Ukraine hawafi??? cjawahi kuona wakitangaza hata mjeshi mmoja kwamba wako makini Sana? au wao vyuma
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Mpaka sasa Rais wa Ukraine ameshahutubia mabunge 10, jana alikuwa anawalilia Japan, alipotoka akaanza kulilia dunia kuwa leo tuandamane dunia nzima, sasa unashangaa mbona kila siku analia lia yeye tu kama mambo yake ni mazuri?Kwahiyo unashangaa mwanajeshi kufia vitani?
RT hawana Cha kuonyesha maana makamanda wa UKRAINE wapo salama.Yukreini tuseme hawafi? Mbona hamutuonyeshi misiba yao na kila siku wanapigika?
Ila Nyie wabishi!unaona Hadi msiba wa kamanda mnasema propaganda!kweli?Acha kabisa hizi propaganda za chekechea
Ni ujinga kushabikia nchi moja kuvamia nchi nyingine.Mpaka sasa Rais wa Ukraine ameshahutubia mabunge 10, jana alikuwa anawalilia Japan, alipotoka akaanza kulilia dunia kuwa leo tuandamane dunia nzima, sasa unashangaa mbona kila siku analia lia yeye tu kama mambo yake ni mazuri?
Hakuna tatizo lolote kama usalama wa nchi uko hatarini, huwezi mkarabisha NATO ukawa salama kwa UrusiNi ujinga kushabikia nchi moja kuvamia nchi nyingine.
Tunashangaa kufa vitani kawaida, ila anae ongoza kwa kulia lia ni Rais wa Ukraine, kwahiyo tuna imani na jeshi letu la Urusi kuwa dawa inafika vizuriIla Nyie wabishi!unaona Hadi msiba wa kamanda mnasema propaganda!kweli?
😂😂😂😂😂😂😂..itakua wao mawe khaaa! Wanataka wenzao tu.wenywe Ukraine hawafi??? cjawahi kuona wakitangaza hata mjeshi mmoja kwamba wako makini Sana? au wao vyuma
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo Rusia ikiikaribisha nchi adui ya Ukraine, Ukraine nayo ikaivamie Rusia?Hakuna tatizo lolote kama usalama wa nchi uko hatarini, huwezi mkarabisha NATO ukawa salama kwa Urusi
Unadhani Putin halii?analia kilio Cha samaki machozi yanaenda na maji!angalia kila wiki makamanda wake wanakufa,ndege zinaangushwa,vifaru vinaharibiwa,nchi umeishiwa nahitaji muhimu,vikwazo kila Kona! kaishia kuwaweka vizuizini maafisa wake wakubwa kwa hasira na uchungu,kuniambia Putin halii sio kweli sema Yule jamaa ana kiburi na pride hataki kuonyesha udhaifu ilihali moyoni ana msiba mzito....Tunashangaa kufa vitani kawaida, ila anae ongoza kwa kulia lia ni Rais wa Ukraine, kwahiyo tuna imani na jeshi letu la Urusi kuwa dawa inafika vizuri
Na hiyo ndio tabia ya mwanaume , sio mwanaume kila siku unalia lia mitandaoni tu kama mtoto mdogo, Putin is a real man anafanya mambo yake anapojikwaa anatafuta solutionUnadhani Putin halii?analia kilio Cha samaki machozi yanaenda na maji!angalia kila wiki makamanda wake wanakufa,ndege zinaangushwa,vifaru vinaharibiwa,nchi umeishiwa nahitaji muhimu,vikwazo kila Kona! kaishia kuwaweka vizuizini maafisa wake wakubwa kwa hasira na uchungu,kuniambia Putin halii sio kweli sema Yule jamaa ana kiburi na pride hataki kuonyesha udhaifu ilihali moyoni ana msiba mzito....
Russia ni super power huyu ni balance ya dunia , kwahiyo super power mwengine hawezi kusogea jirani , lazima alie mkaribisha achakaeKwahiyo Rusia ikiikaribisha nchi adui ya Ukraine, Ukraine nayo ikaivamie Rusia?
Ngoja apitiwe na kiharusi ndio atujua kulia kama samaki sio poa.Na hiyo ndio tabia ya mwanaume , sio mwanaume kila siku unalia lia mitandaoni tu kama mtoto mdogo, Putin is a real man anafanya mambo yake anapojikwaa anatafuta solution
Rusia sio Rwanda, nakukumbusha tuNgoja apitiwe na kiharusi ndio atujua kulia kama samaki sio poa.
Inaruhusiwa kumpa Moyo.Rusia sio Rwanda, nakukumbusha tu
Waendelee kuhutubia mabunge na kulia lia, vip bunge la Tulia ratiba inasemaje?Inaruhusiwa kumpa Moyo.
Putini kwisha habari yake jana karudishwa nyuma na kufurushwa West Ukraine 100kilometers, nadhani kile kibonyezo chake cha nuclear anakiweka tayari ground war ameshindwa mbaya sana, Ukrane baada ya ku-defend sasa wanashambulia wao na wapo kwenye maeneo ya 18