Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
😆😆😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆
Sina shaka unakumbuka kilichompata huyo mtaalamu!Nilimsikia mtaalamu mmoja ana sema usijifukize zaidi ya dakika tano, usichanganye miti, watoto na mtu yeyote mwenye presha wasijifukize
Mwenzio anamfurahisha boss wake we unamfurahisha naniKama hayo maisha ya watu ndiyo yanayotufuatilia tufanyeje? ... watu kila wanalofanya wanamwaga kwa media unategemea sisi tufanye Nini na 'bundles' tunazo'?
You are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda uraya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.
You are not exposed or most particulary elimu ya kuunga unga
uongo utakusaidia nini ?Muhurumie mwenzio yupo hapo kwa sababu ya Mbowe na washiriki wenzake.
Kuna haja ya kuanza kutofautisha aina za Wanyakyusa,Mwandosya angekuwa Mnyakyusa wa aina hii asingeshindwa kuhudumu katika serikali hii.
Tuli sijui anafeli wapi?Wanyaki wa Rungwe hapo hivyo kabisa..
uongo utakusaidia nini ?
Alimuhonga mama yako. Huoni siku hizi makalio yake yameongezeka?. Na misosi ya nguvu mnayokula hapo home? Kuwa na adabu kwa baba yako wa kambo!
Mkuu unataka kuniambia tangu uzaliwe hujawahi kujifukiza? Maana hyo dawa ya kujifukiza kwetu unyakyusani ipo sana. Na tumejifukiza wengi sana na tumepona.. Au kwa sababu ya itikadi za kivyama?Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Jifukize haya majani ya haya maua/mimea na unarudi kwa Muumba bila kuaga!!wewe subiria za wazungu umezidiwa akili hata na masai wasiosoma ambao wana dawa za kimasai zinauzwa hadi ulaya na marekani
dawa za kimasai hakuna TBS wala mzungu wala mwanasayansi kadhibitisha na tunazinywa vizuri wewe endelea kunywa panadol za wazungu
Pole sana mkuu,hivi unaweza niambia kabla ya ujio wa wazungu Tanzania tuliendeshaje tiba zetu?Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Hivi aliyeanzisha kujifukiza ana digrii 4?Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
siku hizi unajifukiza ?Mkuu unataka kuniambia tangu uzaliwe hujawahi kujifukiza? Maana hyo dawa ya kujifukiza kwetu unyakyusani ipo sana. Na tumejifukiza wengi sana na tumepona.. Au kwa sababu ya itikadi za kivyama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaa kumbe nao wanajifukiza kitu chochote bila kukifanyia utafiti wa kisayansi?You are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda uraya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.
You are not exposed or most particulary elimu ya kuunga unga
hiyo.nafasi ya propagabda inakuzuzuaHii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Mpuuzi huyo,kwao kyela ni mabingwa kwa dawa za asili,anatumwagia tu uharo ili aingize poshoDawa zetu za asili hazihitaji kupitishwa na WHO
Hata nchi kama INDIA,. CHINA nk wanadawa zao za asili na hazitambuliwi na WHO
Amejifukiza halafu amepost mtandaoni , unaweza ona lengo lake lilikuwa ni kitu gani.Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi