Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Boda kafanya michezo michafu huyo acheni kutetea mambo msiyoyajua. Vijana acheni tamaa ndio zinawaponzaga mfe mapema
Sasa mkuu hivi kwan idara ya polisi wamekaa kwrnye vikao wakatumia think tanks wa kanda zote wakaona hiyo ndo style bora ya kuwakamata wahalifu??. Je wanajua wanachokipanda kwa raia dhid ya idara za usalama?.
Anyway waendelee na utaritibu huo ila mim ninachokiona huyo mchonga plan ya mfumo unaotumika yamkini anataka kuiadhibu tz sio bure. Na kama ni mtz mwenye mapenz mema na nchii hii basi either ni bishoo, anadharau watz, limbukeni hana tahadhari ktk mambo yakd.
 
Mi nnaa
wake za watu sumu vijana bodaboda,
unadhani unaiba kwa siri, matokeo yake unapotezwa hadharini dah, inasikitisha sana na inafedhehesha mno,

Tamaa ni kitu mbaya sana ndugu zangu 🐒
Mim ninaamin we ni mtu smart sana, kwahyo hayo matukio kuhusishwa na idara za usalama unamaanisha kwamb hao vijana wanakula wake za maofisa salama tuu?.
Na kama ni raia nihalali au ni salama kutumia silaha zao kulipa visas vya mabusiano hadharani?, huoni kama wameidharau idara ya polisi kwa wanacho kifanya?.
Kama ni wanausalam(polisi) huon kama wao ndo wanafedhehesha jeshi na taifa na sio hao vijana?. Na kwa ujumla wake wew umeona kwrnye hayo matukio wanaofefheheka ni taifa au hao wanapotezwa/kamatwa.
 
Mi nnaa

Mim ninaamin we ni mtu smart sana, kwahyo hayo matukio kuhusishwa na idara za usalama unamaanisha kwamb hao vijana wanakula wake za maofisa salama tuu?.
Na kama ni raia nihalali au ni salama kutumia silaha zao kulipa visas vya mabusiano hadharani?, huoni kama wameidharau idara ya polisi kwa wanacho kifanya?.
Kama ni wanausalam(polisi) huon kama wao ndo wanafedhehesha jeshi na taifa na sio hao vijana?. Na kwa ujumla wake wew umeona kwrnye hayo matukio wanaofefheheka ni taifa au hao wanapotezwa/kamatwa.
Mi nnaa

Mim ninaamin we ni mtu smart sana, kwahyo hayo matukio kuhusishwa na idara za usalama unamaanisha kwamb hao vijana wanakula wake za maofisa salama tuu?.
Na kama ni raia nihalali au ni salama kutumia silaha zao kulipa visas vya mabusiano hadharani?, huoni kama wameidharau idara ya polisi kwa wanacho kifanya?.
Kama ni wanausalam(polisi) huon kama wao ndo wanafedhehesha jeshi na taifa na sio hao vijana?. Na kwa ujumla wake wew umeona kwrnye hayo matukio wanaofefheheka ni taifa au hao wanapotezwa/kamatwa.
Gentleman,
kuepuka na usumbufu wenye utata kihivyo ni rahisi tu,
epuka tamaa na mali za watu na wake zao, epuka dhuluma, jitenge na magenge ya kihalifu, tii sheria za nchi bila shuruti na kua muaminifu na mwenye bidii kazini pako.

Nakuhakikishia kadhia hizo zenye utata zitakupitia mbali vinginevyo utakua hot news mitandaoni na kwenye vyombo vya habari,

Ishi vizuri na watu 🐒
 
Gentleman,
kuepuka na usumbufu wenye utata kihivyo ni rahisi tu,
epuka tamaa na mali za watu na wake zao, epuka dhuluma, jitenge na magenge ya kihalifu, tii sheria za nchi bila shuruti na kua muaminifu na mwenye bidii kazini pako.

Nakuhakikishia kadhia hizo zenye utata zitakupitia mbali vinginevyo utakua hot news mitandaoni na kwenye vyombo vya habari,

Ishi vizuri na watu 🐒
Dizain kama mwenyew unaoneka akili yako imetatanika uko too personal, yaan umekaa kiselfish selfish zaid. Sis tunazungumzia taswira ya vyombo vya dola ktk haya matukio hata kama watuhumiwa wana hatia, wew unaleta mawaidha kwa raia.
Kwahiyo wote wanaotekwa wanakula wake za watu na ni wezi????
Mkuu kazi ipo asee kwa mitizamo hii, daa!
 
Ni kweli ila wanapaswa kuw identify kwa nguo rasmi hyo nayo wanakuw wako kinyume na P.G.O , kaz ya askar kanzu nikuchunguza tuu na kuwek mazngr wezeshi mtu akamatwe na c kukamata katk mazngr hatarsh kwake , hao either ni wahun tuu mwa mcmc
Uko sahihi hata mimi nasadiki hivyo,kutokana na na elimu ndogo na uweledi mdogo wanavimba kichwa kwa kufanya kazi kwa staili ya kichawa
 
Dizain kama mwenyew unaoneka akili yako imetatanika uko too personal, yaan umekaa kiselfish selfish zaid. Sis tunazungumzia taswira ya vyombo vya dola ktk haya matukio hata kama watuhumiwa wana hatia, wew unaleta mawaidha kwa raia.

Mkuu kazi ipo asee kwa mitizamo hii, daa!
nimeshauri wadau wa jukwaa zima JF,
ujiona wewe ni mwamba zaidi, basi shupaza shingo,

but hayo ni mawaidha yangu ya upendo kwa wadau wote JF, hakunaga ubinafsi JF.

wabinafsi hawakoment wala kupost chochote jukwaani wanakaa na ideas zao makwao ndani 🐒
 
Ju
nimeshauri wadau wa jukwaa zima JF,
ujiona wewe ni mwamba zaidi, basi shupaza shingo,

but hayo ni mawaidha yangu ya upendo kwa wadau wote JF, hakunaga ubinafsi JF.

wabinafsi hawakoment wala kupost chochote jukwaani wanakaa na ideas zao makwao ndani

nimeshauri wadau wa jukwaa zima JF,
ujiona wewe ni mwamba zaidi, basi shupaza shingo,

but hayo ni mawaidha yangu ya upendo kwa wadau wote JF, hakunaga ubinafsi JF.

wabinafsi hawakoment wala kupost chochote jukwaani wanakaa na ideas zao makwao ndani 🐒
Ushaur wako ni mzur, ila ni sawa na mtaalam wa kilimo kutoka africa ambaye amezoea kuhimiza kilimo cha mpunga.

Na kwa ujasiri huohuo, anashauri raia wa Alaska, Ireland, greenland na Siberia kujikita kwenye kilimo cha mpunga.
 
Ju



Ushaur wako ni mzur, ila ni sawa na mtaalam wa kilimo kutoka africa ambaye amezoea kuhimiza kilimo cha mpunga.

Na kwa ujasiri huohuo, anashauri raia wa Alaska, Ireland, greenland na Siberia kujikita kwenye kilimo cha mpunga.
ni muhimu zaidi kuzingatia mawaidha hayo muhimu bila kujali wewe na mkulima au mfanyabiashara,

amani na usalama wako ni katika kuzingatia hayo gentleman :NoGodNo:
 
ni muhimu zaidi kuzingatia mawaidha hayo muhimu bila kujali wewe na mkulima au mfanyabiashara,

amani na usalama wako ni katika kuzingatia hayo gentleman
Ila jitahid kuwa flexible unaonekana una akili akili you are not too much addicted to politics.
Jitahid kuwa unajikita kwenye hoja. Unaonekana unamwazo mazur ila yako locked na itikad flan. Jitahid kuwa relevant mjukuu wangu una kitu cha kuwafaa wadogo zako.
 
Ila jitahid kuwa flexible unaonekana una akili akili you are not too much addicted to politics.
Jitahid kuwa unajikita kwenye hoja. Unaonekana unamwazo mazur ila yako locked na itikad flan. Jitahid kuwa relevant mjukuu wangu una kitu cha kuwafaa wadogo zako.
umenikumbusha mbali sana aise,
kuhusu habari ya LAND LOCKED COUNTRIES,

hata hivyo,
binafsi naheshimu mno maoni na mitazamo ya wadau wote wa jukwaa hili muhimu na la heshima kwangu na pengine kwa wadau wengine pia,

nadhani nahitaji kujifunza zaidi na kupata uzoefu, ufahamu na uelewa wa mambo mbalimbali ya kijamii, kisiasa na kiuchumi, kitaifa na kimataifa, licha ya kua pia ninayo maoni na mtazamo wangu binfsi dhidi ya hoja zangu mwenyewe na zile zinazoibuliwa na wadau wengine wa Jf,

nadhani jambo muhimu zaidi kwetu sote kama familia ya JF,
ni kuvumiliana, kustahimiliana, kukubaliana kutaofutiana na muhimu zaidi kuskilizana. Na kwa kufanya hivyo, utofauti wa maoni, mitazamo na mirengo ya kisiasa havitatugombanisha , bali kutufanya tuheshimiane zaid na kutuweka pamoja zaidi katika kuimarisha amani na demokrasia katika Taifa letu :NoGodNo:
 
Kwenye movie Hawa jamaa alikua ni WA kupigwa mawe..ila kwenye uhalisia ukiingilia show ya wahuni unajazwa masasi ya makalio
 
Baada ya tukio zaidi ya asilimia 90 ya watu walikuwa wanasema hawa hawawezi kuwa polisi (na sio kosa lao, vitendo wanavyofanya havifananii kabisa) ila mwisho wa siku wakathibitisha ni wao ndiyo wamepiga hili tukio.

Ukijaribu kufananisha hili tukio na matukio yanayotokea hivi karibuni hakuna utofauti wowote. Mtu hawezi hawezi kuja kukuteka kama hana mamlaka
 
Back
Top Bottom