dir good beatus
Member
- Jun 26, 2015
- 55
- 62
inafanya kazi hio dawa.View attachment 2448618
Kwa kawaida watu wa mitandaoni hupenda kushabiki mambo, lakini katika hili wanaonekana kukerwa na video ambayo inaonesha mwanamke mmoja akivua nguo yake ya ndani na kuiweka kwenye sufuria la mboga jikon..
Kama Mzee baba mwenyewe Adamu alilishwa tunda na Bi-mkubwa Eva,hakupinga sembuse wewe upone.Kumbuka lile alilolishwa Adamu alikatazwa na Mungu mwenyewe kwamba asile.View attachment 2448618
Kwa kawaida watu wa mitandaoni hupenda kushabiki mambo, lakini katika hili wanaonekana kukerwa na video ambayo inaonesha mwanamke mmoja akivua nguo yake ya ndani na kuiweka kwenye sufuria la mboga jikoni...
vitu hivi vinafanyika nyumba nyingi na vinafanywa na wanawake wengi haijalishi anajitambua au hajitambui ilimradi tu ni mwanamke,mm taahira ila nimejionea na kusikia haya sio mara moja au ndo mara kwanza,hawafanyi kwa kujifurahisha au kukulisha tu wewe uchafu kwa kukukomoa wanafanya kufanikisha misheni zao ndani ya izo nyumba.We ni taahira? Labda mkeo ndo anakulisha nywele,unapata wapi guts za ku generolaizi? Oeni wake wanaojitambua acheni kuokoteza okoteza
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
๐๐๐๐Semaa Nini vijidudu vimekufa humo humo kwenye mchuzi so ukila inakuwa protini .....
.hakuna tatizo hapo .....
Hatari sanaKama Mzee baba mwenyewe Adamu alilishwa tunda na Bi-mkubwa Eva,hakupinga sembuse wewe upone.Kumbuka lile alilolishwa Adamu alikatazwa na Mungu mwenyewe kwamba asile.Shetani wa sasa bado ni yule yule wa kizamani aliye anayetumia mbinu zile za kizamani alizotumia kumdanganya Eva.So hakuna jipya hapo.Hiyo ni principle ya asili,shetani analetaga uharibifu kwenye familia mara nyingi kwa kupitia mwanamke.Mwanamke huwa anamuelewaga na kumuamini kwa haraka sana shetani.Mwanamke asiyekombolewa bado atakulisha tuu.na inawezekana hata wewe ukionyeshwa video za ulichokwisha lishwa na mwanamke mpaka sasa huwezi amini.Mungu atusaidie
Mungu akubariki baba Mchungaji Joashi Aila wa KKKT Karikoo.Somo lako la (12-16.12.2022) kuhusu familia nazidi kulielewa kwa mfano huu.