Video: Mwanamke anaswa akiweka chupi kwenye chakula

Video: Mwanamke anaswa akiweka chupi kwenye chakula

Na usikute hata baada ya kufanya hivi huyo unayemfanyia haoneyshi hata tone la upendo wala kukujali
ndo kwanza unadundwa na kuletewa wenzio
unabaki kuwa mchawi tu
 
Juice za mitaani

Juice za miwa

Vyakula tunavyokula mitaani

Hivyo vyote huwa ni biashara mbele
 
Dah siku nimesikitika nahaduthiwa jiran yangu katika ushindani wa biashara ya chipsi anaonekana anaweka vidawa flani kwenye chipsi ili ukila unase yan usiache kula chipsi zake
 
Wanawake wake bwana tukio akifanya mwanamke mwenzao wapo kimya kama hawaoni vile ila akifanya mwanaume huko kwenye mitandao utaona matusi yao na harakati zao za pimbi
Mwanamke kazika kichanga cha week mbili wapo kimya
Kule geita mama kashirikiana na wanawe kumuuwa mume wake wapo kimya
Huyu anaweka chupi kwenye mboga wapo kimya
Yaani hayo matukia yangefanywa na wanaume pasingekalika hapa

NB: wanawake wengi wengi wana tatizo la afya ya akili hasa hawa single maza wana stress balaa.
 
Sioni cha ajabu hapo!,halafu hicho hakiwezi kuwa chakula cha mamantilie
 
View attachment 2448618

Kwa kawaida watu wa mitandaoni hupenda kushabiki mambo, lakini katika hili wanaonekana kukerwa na video ambayo inaonesha mwanamke mmoja akivua nguo yake ya ndani na kuiweka kwenye sufuria la mboga jikoni...
Kama Mzee baba mwenyewe Adamu alilishwa tunda na Bi-mkubwa Eva,hakupinga sembuse wewe upone.Kumbuka lile alilolishwa Adamu alikatazwa na Mungu mwenyewe kwamba asile.

Shetani wa sasa bado ni yule yule wa kizamani aliye anayetumia mbinu zile za kizamani alizotumia kumdanganya Eva.

So hakuna jipya hapo.Hiyo ni principle ya asili,shetani analetaga uharibifu kwenye familia mara nyingi kwa kupitia mwanamke.

Mwanamke huwa anamuelewaga na kumuamini kwa haraka sana shetani.Mwanamke asiyekombolewa bado atakulisha tu na inawezekana hata wewe ukionyeshwa video za ulichokwisha lishwa na mwanamke mpaka sasa huwezi amini.Mungu atusaidie

Mungu akubariki baba Mchungaji Joashi Aila wa KKKT Karikoo.Somo lako la (12-16.12.2022) kuhusu familia nazidi kulielewa kwa mfano huu.
 
We ni taahira? Labda mkeo ndo anakulisha nywele,unapata wapi guts za ku generolaizi? Oeni wake wanaojitambua acheni kuokoteza okoteza

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
vitu hivi vinafanyika nyumba nyingi na vinafanywa na wanawake wengi haijalishi anajitambua au hajitambui ilimradi tu ni mwanamke,mm taahira ila nimejionea na kusikia haya sio mara moja au ndo mara kwanza,hawafanyi kwa kujifurahisha au kukulisha tu wewe uchafu kwa kukukomoa wanafanya kufanikisha misheni zao ndani ya izo nyumba.

Haina haja kubishana sana we amini pale kujua kwako kulipoishia kuna wengine wanajua zaidi tena ogopa hao unaowaona unawaona wanajitambua kwasababu ya kujitambua kwao ni ngumu sana kujua wanayofanya nyuma ya panzia...na ndo maana Mungu anatutaka tusali kwanza kabla ya kula ili kujiepusha na mambo mengi tusiyoyajua juu ya tunachotaka kula
 
Mimi nilishawaambia jamaa na marafiki mkiniona nafanya mambo ya ajabu kisa mapenzi muende mkaniangue nisharogwa
 
Kama Mzee baba mwenyewe Adamu alilishwa tunda na Bi-mkubwa Eva,hakupinga sembuse wewe upone.Kumbuka lile alilolishwa Adamu alikatazwa na Mungu mwenyewe kwamba asile.Shetani wa sasa bado ni yule yule wa kizamani aliye anayetumia mbinu zile za kizamani alizotumia kumdanganya Eva.So hakuna jipya hapo.Hiyo ni principle ya asili,shetani analetaga uharibifu kwenye familia mara nyingi kwa kupitia mwanamke.Mwanamke huwa anamuelewaga na kumuamini kwa haraka sana shetani.Mwanamke asiyekombolewa bado atakulisha tuu.na inawezekana hata wewe ukionyeshwa video za ulichokwisha lishwa na mwanamke mpaka sasa huwezi amini.Mungu atusaidie

Mungu akubariki baba Mchungaji Joashi Aila wa KKKT Karikoo.Somo lako la (12-16.12.2022) kuhusu familia nazidi kulielewa kwa mfano huu.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom