Video: Mwijaku kavuka mpaka Serikali ingilieni kati tunaaibika

Mbona hakuna kitu amefanya cha kuaibisha nchi
Unajua waafrika hasa watanzania wanasumbuliwa na ufukara ndio maana wakiona mtu anakula raha kimataifa inawauma na kuwachoma.

Kuna mijitu ni mafukara maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi, Hata passport hayana.

Kwa hiyo wakiona mtu yupo internationally anakula maisha, Mioyo inawapasuka paaaaaah!!!
 
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.

Wabongo wengi ni maskini choka mbaya. Wana utapiamlo kichwani sababu ya ukapuku.
 

Kumbe unatumia Tecno imechoka hivi
 
Yaniii eti anatembea tumbo wazi
Wangejua huko dunia ya kwanza hakunaga mtu anajali Mambo ya mwingine wangetulia tu dawa iwaingie.

Waache watu waishi Maisha yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…