Kuna kitu kinapikwa, tunafichwa na hakiko wazi.
Team ya uchafuzi ya chadema iko kazini.
Kama kweli MAKONDA kafanya haya, basi hukumu ya mungu dhidi yake haiepukiki. Ila kama ndio ileile style ya chadema ya kuwachafua vijana wana mapinduzi,,, basi MAKONDA atatoka katika hili kama shujaa.
Nawakumbusha tuuu.
YU WAPI YULE ADUI MKUU WA CHADEMA MWINGULU NCHEMBA)
YU WAPI YULE ADUI WA KUDUMU WA CHAMA(ZZK)
YU WAPI ADUI MWINGINE WA CHADEMA ((JAKAYA MRISHO KIKWETE)
nionavyo mimi, yule aliye adui mbele ya chadema ni TUNU ya taifa letu. Tusubiri, hata makonda itathibitisha hili.