Ni kweli lakini hata wao wanaishi kwa matabaka na kubaguana sembuse mtu mweusi?!!!!!Da yan taifa kubwa kama India wameshindwa kuwapelekea ustaharabu hawa watu wamewaacha tu watembee uchi.Dah!Nimeumia sana,najua in dhambibya ubaguzi mwisho wa Sikh wakajikuta wanatembea tu pekeyao wakashindwa kufanya adaptation
Chaputaa?au una maana wachuaji wa misuli hapa tanzani?CHAPUTA
ndo hao hao mkuuChaputaa?au una maana wachuaji wa misuli hapa tanzani?
Chapudar ndio wenyewe lakini wa mikoani hawajui hiyo kitu.utafiti umeonyesha.ndo hao hao mkuu
Hahaha.. Alafu jamaa inaelekea unapenda histiria sana,Chapudar ndio wenyewe lakini wa mikoani hawajui hiyo kitu.utafiti umeonyesha.
60,000 yrs ago.Miaka elfu60 aka miaka 60elfu ama miaka ya1060? Sijaelewa vema mkuu
Kuna ulinganisho gani na miaka kiduchu ya Yesu? ie:60,000-20126=57984! Labda Firauni Aminotes historia zitakaribiana.Na mimi nimepata shida hiyo mkuu.Ikiwa alimaanisha miaka 60 elfu iliyopiya ina maana ni kabla hata Yesu hajazaliwa.
Ustaarabu wa kimisri ulianza takriban miaka elfu tano iliyopita.na out of afrika ilikuwa takriban miaka elfu sitini iliyopitaKuna ulinganisho gani na miaka kiduchu ya Yesu? ie:60,000-20126=57984! Labda Firauni Aminotes historia zitakaribiana.
Na wengine wapo philippine
Waarabu waliwafanyaje?Wazungu waliwauza watu weusi dunia mzima..!
Hata asili ya waarabu ni kahtanese ni weusi wa kutoka horn of afrika kabla ya kuzaana na wafaarisayo.(persians)Waarabu waliwafanyaje?
Wanawake wameumbika hawa jamani duh!!!
Genes za kiafrika ni ya ajabu sana, inachange sana kimuonekano yaani barani kote huko kuna weusi lkn kimuobekano wako kitofauti tofauti na cha kushangaza ni kwamba utamaduni wa watu weusi popote pale walipo duniani unafananaShujaa wa kibeja asilia hawa jamaa ndio waasisi wa uararabuView attachment 431451 View attachment 431452ni waafrika aslia