Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Da yan taifa kubwa kama India wameshindwa kuwapelekea ustaharabu hawa watu wamewaacha tu watembee uchi.Dah!Nimeumia sana,najua in dhambibya ubaguzi mwisho wa Sikh wakajikuta wanatembea tu pekeyao wakashindwa kufanya adaptation
Ni kweli lakini hata wao wanaishi kwa matabaka na kubaguana sembuse mtu mweusi?!!!!!
 
Chapudar ndio wenyewe lakini wa mikoani hawajui hiyo kitu.utafiti umeonyesha.
Hahaha.. Alafu jamaa inaelekea unapenda histiria sana,
inaelekea O-level ulikuwa unawakimbiza eeh
 
Na mimi nimepata shida hiyo mkuu.Ikiwa alimaanisha miaka 60 elfu iliyopiya ina maana ni kabla hata Yesu hajazaliwa.
Kuna ulinganisho gani na miaka kiduchu ya Yesu? ie:60,000-20126=57984! Labda Firauni Aminotes historia zitakaribiana.
 
Mwarabu huyu original,unaona waarabu asilia kabla ya kuchanganya damu na assyrians.
 
Shujaa wa kibeja asilia hawa jamaa ndio waasisi wa uararabu ni waafrika aslia
 
mbona wana kelele sana
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…