imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Swali zuri mkuu,.lakini kaa ukijua "adui" mkubwa wa andamanese ni Indian government,wanajifanya wanalinda haki za makabila asilia lakini wanaruhusu uhamiaji wa maelfu ya watu kutoka bara hindi ambao wanaenda na maradhi ya kila aina,ukweli ni kwamba serikali ya India inataka "kuwafuta" wajarawa katika visiwa vyao,sasa serikali zetu AU,UN ni watu wa sayari nyingine kabisa.African union kazi yake ni nini, kwa nini wasiwaprotect hawa jamaa?