Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Mimi nafikiri wakati biashara ya utumwa inaendelea ulimwenguni ktk maisha yao huko ugenini wapo waliokuwa wakitoroka na kukimbilia wasipo pajua kujificha so hamna mtu aliyeweza kujua hao watu walipo it's all about nature.....I love our mother nature.
Yaah sababu hakukuwa na ufahamu wa kuandika kumbukumbu basi wataalamu wetu wa leo wanatuambia leo hili kesho lile ingawa teknolojia ya dna inaweza kutoa mwanga japo kidogo.
 
Ni historia nzuri sana,ila sisi waafrika ni wanafiki na tuna roho mbaya sana kwa nini umoja wa afrika usifanye utaratibu wa kuwatambua waafrika wote popote walipo
Diaspora tu hawatambuliwi kama ni raia, ndio ije kuwa waafrika duniani.
 
Habari za Wikendi wanaJamvi.

Bado inawaumiza vichwa sana wana Historia na wanaanthropolojia hawa watu walifikaje India kwenye visiwa vya Andaman na Nicobar? Nadharia tofauti zinadai hawa watu wa kabila linaloitwa Jarawa walisafiri kutoka Africa Mashariki Kwa mitumbwi miaka elfu 60 iliyopita na wala hawakuwa watumwa walifika pekee Yao.

Vasco da Gama kawaelezea Kwa uchache kweli walipojaribu kuweka nanga visiwani humo Karne ya 15 akielekea Goa India walikabiliwa na upinzani mkali Kwa kurushiwa mishale ikabidi waondoke.

Sasa hivi idadi Yao imeshuka wamebaki 450 tu. Serikali ya India imeamua kuwaacha waishi wanavyopenda bila bughudha na kutoruhusu watalii wowote hasa kutoka magharib ambao wanausongo sana kuwatembelea ndugu zetu hao India Kwa sabab kinga za mwilini mwao ni dhaifu na wakipata maambikiz kama magonjwa ya Surua itawafyeka.

Kuna wahindi walikuwa wanawaingiza watalii wazungu kinyemela visiwani humo nyakati za usiku ila wamekamatwana serikali ya India nakuchukuliwa hatua kali.

Mwaka huu binti wakabila hili la Jarawa alizaa mtoto chotara ikabidi wazee wanaume wa kabila hili wakizamishe baharin. Msemaji wa serikali ya India alisema hawez kuingilia mambo ya hao watu wamewaacha wajitawale wenyewe.

Vyakula wanavyokula ni mizizi, nguruwe pori, samaki na madafu sana sana.

Very interesting

Kwa kuwa hao wenzetu wanabaguliwa sana na wahindi nashauri warejeshwe nyumbani tukawatafutie mapori ya kuishi.
 
Habari za Wikendi wanaJamvi.

Bado inawaumiza vichwa sana wana Historia na wanaanthropolojia hawa watu walifikaje India kwenye visduiwa vya Andaman na Nicobar? Nadharia tofauti zinadai hawa watu wa kabila linaloitwa Jarawa walisafiri kutoka Africa Mashariki Kwa mitumbwi miaka elfu 60 iliyopita na wala hawakuwa watumwa walifika pekee Yao.

Vasco da Gama kawaelezea Kwa uchache kweli walipojaribu kuweka nanga visiwani humo Karne ya 15 akielekea Goa India walikabiliwa na upinzani mkali Kwa kurushiwa mishale ikabidi waondoke.

Sasa hivi idadi Yao imeshuka wamebaki 450 tu. Serikali ya India imeamua kuwaacha waishi wanavyopenda bila bughudha na kutoruhusu watalii wowote hasa kutoka magharib ambao wanausongo sana kuwatembelea ndugu zetu hao India Kwa sabab kinga za mwilini mwao ni dhaifu na wakipata maambikiz kama magonjwa ya Surua itawafyeka.

Kuna wahindi walikuwa wanawaingiza watalii wazungu kinyemela visiwani humo nyakati za usiku ila wamekamatwana serikali ya India nakuchukuliwa hatua kali.

Mwaka huu binti wakabila hili la Jarawa alizaa mtoto chotara ikabidi wazee wanaume wa kabila hili wakizamishe baharin. Msemaji wa serikali ya India alisema hawez kuingilia mambo ya hao watu wamewaacha wajitawale wenyewe.

Vyakula wanavyokula ni mizizi, nguruwe pori, samaki na madafu sana sana.

Very interesting

Kwa kuwa hao wenzetu wanabaguliwa sana na wahindi nashauri warejeshwe nyumbani tukawatafutie mapori ya kuishi.du
Habari za Wikendi wanaJamvi.

Bado inawaumiza vichwa sana wana Historia na wanaanthropolojia hawa watu walifikaje India kwenye visiwa vya Andaman na Nicobar? Nadharia tofauti zinadai hawa watu wa kabila linaloitwa Jarawa walisafiri kutoka Africa Mashariki Kwa mitumbwi miaka elfu 60 iliyopita na wala hawakuwa watumwa walifika pekee Yao.

Vasco da Gama kawaelezea Kwa uchache kweli walipojaribu kuweka nanga visiwani humo Karne ya 15 akielekea Goa India walikabiliwa na upinzani mkali Kwa kurushiwa mishale ikabidi waondoke.

Sasa hivi idadi Yao imeshuka wamebaki 450 tu. Serikali ya India imeamua kuwaacha waishi wanavyopenda bila bughudha na kutoruhusu watalii wowote hasa kutoka magharib ambao wanausongo sana kuwatembelea ndugu zetu hao India Kwa sabab kinga za mwilini mwao ni dhaifu na wakipata maambikiz kama magonjwa ya Surua itawafyeka.

Kuna wahindi walikuwa wanawaingiza watalii wazungu kinyemela visiwani humo nyakati za usiku ila wamekamatwana serikali ya India nakuchukuliwa hatua kali.

Mwaka huu binti wakabila hili la Jarawa alizaa mtoto chotara ikabidi wazee wanaume wa kabila hili wakizamishe baharin. Msemaji wa serikali ya India alisema hawez kuingilia mambo ya hao watu wamewaacha wajitawale wenyewe.

Vyakula wanavyokula ni mizizi, nguruwe pori, samaki na madafu sana sana.

Very interesting

wako vizuri sana
 
Eti watu weusi wa marekani huwa wanasema
Sisi tuliobaki huku tuna roho mbaya coz
Hakuna hata mmoja aliewahi kuchukua mkuki kwenda kuwarudisha
Na mimi huwa nasema kama umepajua kwenu siurudi uchague eneo unalotaka kukaa.
Israel walikaa misri utumwami kwa miaka 400
Baade wakarudi.
Na hawa tangu wakae huko ni miaka 400 na zaidi siwarudi..

Ni bora africa ingekuwa na umoja wa kutambua waafrica popote walipo
Na kuchukua maoni yao wanaopenda kurudi warudi
 
Bado nadharia INA upungufu, kama walitumia ships tutajuaje
Ni nadharia tu,mapungufu lazima yawepo,ila kuna ukweli fulani ndani yake,kutumia mitumbwi kuvuka bahari sidhani.hebu itilie nyama nadharia yako ya mitumbwi.
 
Out-of-Africa Map.jpg
Hii nayo inaonyesha kuwa nadharia ya kutumia "ships"hawakuipendelea.
 
a2fc1b17165b324007a167c9ba7b9936.jpg
Sasa story ya adam na eva/hawa inakuwa hivi ndio inakamilika.
 
Inasemekana cye ndyo binadamu wa kwanza so tunaendelea kubadilika... Ndomanaa wadada wakiwa wadogo huwa weusi wakikuwa wanakuwa wazungu
 
Ni nadharia tu,mapungufu lazima yawepo,ila kuna ukweli fulani ndani yake,kutumia mitumbwi kuvuka bahari sidhani.hebu itilie nyama nadharia yako ya mitumbwi.
Wazee wa zamani wapitumia large ships katika shughuli za kiuvuvi na kibiashara, wazungu wanatuona hatuna uwezo wa kutengeneza ships ndio maana wanatupa nadharia za kutembea kwa miguu kama ngedere, haujiulizi kwanini wanatuita nyani!
 
Back
Top Bottom