Kama sini ni binadamu wakwanza natunaendelea kubadilika, hao wazungu ni wangapi waliokwisha badilika.Inasemekana cye ndyo binadamu wa kwanza so tunaendelea kubadilika... Ndomanaa wadada wakiwa wadogo huwa weusi wakikuwa wanakuwa wazungu
Sidhani mkuu ila inasemekana kipindi hicho kulikuwa na vyombo vya matete au ndago reeds.large ships
Hii nadharia inaonyesha kuwa vitabu vitakatifu vinasema ukweli chanzo chetu ni kimoja.Kama sini ni binadamu wakwanza natunaendelea kubadilika, hao wazungu ni wangapi waliokwisha badilika.
hao wazungu ni wangapi waliokwisha badilika.
Ukute hamna hata hospitali,magonjwa kama cancer,ukimwi ,kisukari na mengine mengi hamna.Wanaishi ki primitive but very healthier looking with their beautiful skin!
Lami hii kama tuijuavyo nadhani haina hata karne moja.Enzi hizo kulikua na lami??
Huyo mtoto atakuwa ni albino,tunapiga vita mauaji ya albino,hapa unasifia mauaji.Kwa mauaji haya,inatakiwa kitendo hiki kilaaniwe na watu wa haki za binadamu dunia nzima.
Ndio safiDa yan taifa kubwa kama India wameshindwa kuwapelekea ustaharabu hawa watu wamewaacha tu watembee uchi.Dah!Nimeumia sana,najua in dhambibya ubaguzi mwisho wa Sikh wakajikuta wanatembea tu pekeyao wakashindwa kufanya adaptation
Kimoja, nadharia nyingine zimejawa racism tu sababu ya kukosa wanasayansi wa kiafrika.Hii nadharia inaonyesha kuwa vitabu vitakatifu vinasema ukweli chanzo chetu ni kimoja.
Wore uliowaweka hapo ni wasomali (wenye asili ya kiarabu) nionyeshe mtanzania aliyeanza kubadirika bila msaada wa mkorogo.View attachment 430755 View attachment 430756 View attachment 430757 View attachment 430758 View attachment 430759 Mimi naona uzungu wa mwafrika unavyoanza bado akiwa barani afrika.
Wore uliowaweka hapo ni wasomali (wenye asili ya kiarabu) nionyeshe mtanzania aliyeanza kubadirika bila msaada wa mkorogo.
Isolation na matashi yao. Sio hao tu. Brazil wapo misituni ukidhubutu unalishwa nchare, wahazabe Tz (spelling nimekosea) wale wa God must be crazy wa Namibia na Papua new Guinea wapo wengi tu. Yawezekana hata Bongo kuna sehemu hawajaona mtu wa nje wala gari wala umeme. hivyo bado na sisi tumo.Mmmh msambwanda
Kwanini hawavai nguo hadi leo