Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askari wa napolione walipofika misri walivunja kwa makusudi kabisa pua ya "sphinx" na ushahidi upo.sasa utagundua kuwa ilifikia wakati wakaona waondoe ushahidi wa mwafrika katika historia ya dunia..wamejaribu lakini mungu yuko nasi.Kaka kulikuwa na Kampeni kubwa sana ya Wazungu kuficha hii history, walijitahidi sana kuvunja pua za kila sananu ili kuvunja identity ya Mwafrica, we angalia sananmu zote utaona pua zake zimevunjwa
dah mkuu ipoindia kuna sehem kama hii au ni zamani sana
Ooh yees! Yesu au issa au masia au masihi..alikuta wameshamtafunia..yeye alikuja kumeza tu.ila kuna similarities kati ya dini za kimisri na dini zetu leo hii.Mkuu yesu kazaliwa juzi tu kakuta civilization iko tayari kitaambo
Nitatumia hiyo keyword kujielimisha zaidi... na ndio maana, uliposema tu, hapo hapo nikaona ina-make sense manake kitu chenye mantiki kinaonekana tu!!!!Mkuu nime confirm uki google ancient chines histoy of trade with africa wameandika kwa mapana sana
Kweli kabisa mkuuTukisema waafirika tuliwahi Utawala ulimwenguni vichwa ngumu wanabisha.Haya sasa walifikaje huko kama hawakuwa na idea ya navigation?
Mkuu hawakwenda Kwa kuuzwa,wameenda kitambo sanaWazungu waliwauza watu weusi dunia mzima..!
Mkuu! Mbona ushahidi uko,kuhusu asili ya waebrania wa kale.Muafrika ameanza ku hustle Siku nying nchi Za watu,hivi wale wana waisrael waliohama kutoka misri wanaaminika Kuwait ni Blacks
La hasha nywele laini zimenzia hapahapa barani afrika kabla ya kwenda mabara mengine.Itakuwa waliingia goha kidogo maana nawenyewe ni weusi isipokuwa nywele zao ni singer