Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

5083099d3cc9d6ef017626854e55788a.jpg
 
Nachukia ukoloni na katu siwezi kuonea ufahari ujaji wa Wakoloni barani Afrika! Hata hivyo, hiyo hainiachi kuwaza kwamba je; huenda kama si ujaji wa Wakoloni Afrika; hivi sasa si ajabu bado tungekuwa kwenye primitive life kama hao?! Tungekuwa tumepiga hatua kiasi gani?

Anyway, sijasoma history... ngoja weekend hii nitumie muda kidogo kujisomea yale ambayo niliyasikia nikiwa Form I & II... Zama za Kale za Mawe; Ugunduzi wa Moto n.k! Ningependa kufahamu wakati Mswahili anaweza kuchonga jiwe kwa kutumia mawe; makabila mengine (non Africans; white in particular) walikuwa wapi!

Nikirudi kwenye mada; interest yangu sio "Waafrika" hao kwenda India... bali ni nini kiliwafanya ku-risk maisha yao kiasi cha kuingia kwenye mitumbwi hadi India! Let's wanatoka Tanga... walipokuwa wanaishi pakakumbwa na disease outbreak na hivyo kuwa si salama tena kuishi!! Kwanini wali-opt kuelekea Eastwards hadi baharini na kuanza kukata maji bila kufahamu wanaenda wapi.... huku nikiamini hawakuwa na mitumbwi ya kuweza kuhifadhi idadi kubwa ya chakula na maji... by the way; wangehifadhi kwa kutumia vifaa gani?! Why instead moving eastwards, hawakuelekea north/west/southwards ambako wangeweza kulikimbia eneo hatarishi bila ku-risk maisha yao tena wakiwa na uhakika wa kupata chakula kwavile wangekuwa wanasafiri pori kwa pori!!!!

Hebu nikumbusheni wataalamu wa historia! Wale Wangoni wa Kusini mwa Tanzania ni moja ya sehemu ya Wazulu ambao kusafiri kwao northward to Tanzania ilitokana na civil wars kule kwao?!

Mkuu Copenhagen DN, kwa hii ID yako naweza ku-assume upo Denmark! Kama ndiyo, kuna motivation factor iliyokufanya ku-move northward to Denmark! Kutafuta elimu, maisha na mambo mengine kama hayo! Nini inaweza kuwa motivation factor ya hao watu?!

Unaambiwa hata hao manabii walikuwa weusi, ila kwa 7bu wazungu huwa wanapenda kuonekana the best hasa linapokuja suala la rangi inawezekana kabisa wakatoa vijisababu vyenye kuendelea kumfanya mwafrica aonekane ni inferior tu kwa vyovyote vile; hao inawezekana kabisa asiri Yao ni huko huko ila wameuliwa kimya kimya wee mpaka wamebaki hivo na ndo maana na wenyewe wakaua hicho kitoto
Huwa hushangai uwepo wa waindi weusi tii isipokuwa nywele?
 
wameuliwa kimya kimya wee mpaka wamebaki hivo
Kweli kabisa mkuu,makabila ya watu weusi..jarawa,ongi,sentineli,kwa ujumla wao walikuwa 30,000 na ushee wakati india inakabidhiwa visiwa hivyo, leo hii wako chini ya 500 sasa utasema bahati mbaya?hapana kuna juhudi za lazima zinafanywa za kuwamaliza na hiyo siyo siri tena.
 
Kweli kabisa mkuu,makabila ya watu weusi..jarawa,ongi,sentineli,kwa ujumla wao walikuwa 30,000 na ushee wakati india inakabidhiwa visiwa hivyo, leo hii wako chini ya 500 sasa utasema bahati mbaya?hapana kuna juhudi za lazima zinafanywa za kuwamaliza na hiyo siyo siri tena.
Ila hao jamaa ni wakorofi balaa hawataki contact na outside world ukifika territory yao unakula mishale ya kutosha nimesoma mahali walikua wanawaua hadi ma contractor waliokua wanajenga barabara ya kwenye visiwa vyao
 
Ila hao jamaa ni wakorofi balaa hawataki contact na outside world ukifika territory yao unakula mishale ya kutosha nimesoma mahali walikua wanawaua hadi ma contractor waliokua wanajenga barabara ya kwenye visiwa vyao
Hiyo trunk road ndiyo imewapelekea maradhi,sasa hawa ndugu zetu wame survive kwa miaka elfu sitini wanamalizwa na binadamu wenzao ndani ya karne moja tu.kuna baadhi ya wana sayansi wali ionya serikali ya india kuhusu ujenzi wa barabara hiyo, lakini serikali ya india ilikuwa inajua "haswa" kitu gani inakifanya.
 
"Ankh" mpaka leo inatumika kwa waafrika.sijui ina maana gani.
f3b1133235370e7d7c5ecd2875fcfa0b.jpg
 
6dd18c49b1804e99635b459d4c26dfc0.jpg
King tutankhamun farao kijana kabisa mtoto wa ankhenatun.unaliona afro lilivyo kubali.
 
a16ff6d8c6006d8338baf4b9666f7241.jpg
Ankh,djed,was. Ndugu zangu waafrika mababu zetu walituachia "siri" sasa ni kazi yetu sisi kuitafuta siri hiyo.
 
Kama juhudi za lazima zisipofanywa na nchi za kiafrika, hizi sura zitabakia kwenye picha tu tena ndani ya miaka ishirini tu.
IND-JAR-SALOME-16_screen.jpg
dd2f09387717ce4b8e6e4eadf91c008c.jpg
ind-jar-salome-25_screen.jpg
 
Msafara wa farao Hatchepsut ulirudi na zawadi mbalimbali zikiwemo mpingo,ubani,meno ya tembo,na ngozi za chui,katika picha hii inaonyesha wamisri wakiwa wamebeba mti wa ubani kutoka puntland.
punt-1.jpg
 
Malikia wa puntland akikabidhi zawadi fulani,sijui ni dhahabu?kwa farao hatchepsut.
 
Mwanaume wa kabila la kisomali akivuna mti wa "ubani"huko somalia afrika.
tumblr_m6ff43tnmZ1qill6po1_500.jpg
 
Back
Top Bottom