4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
habari imefinywa na umejua?Aisee.
Halafu kuna sehemu humu jamaa ananiambia ohh Tanzania ukiandamana tu Mabuti n.k....na nimemchallenge atizame huko kama hakuna mabuti bunduki mabomu ya machozi n.k... Yaani hizi habari zimefinywa unaona habari za Odinga.
Asante kwa Taarifa