Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Kwamba iran ni third world?ubishi kweny kilele chake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba iran ni third world?ubishi kweny kilele chake
ULichosema kinabadilisha nini?kwahiyo kisa Tz ni ulimwengu wa tatu bas mataifa mengine hayawez kuwa kundi hilo? ndan ya Iran kuna watu hata nguo hawabadili mpk mwaka unaisha , endelea kudanganywa na clips za tehran
Haters wa west ujenga madai yao katika uwongo na propaganda hali inayofanya wafuatiliaji wa mambo wawaone kama watu waliochanganyikiwa.huyo jamaa mihemko inamsumbua
thijui labda google waongoKwamba iran ni third world?
hujanielewa au sikukuelewaULichosema kinabadilisha nini?
Kuwa Irani sio third world?
Ukraine hata kwa Africa haipo Top 10 ya pato la mtu mmoja mmoja,unahisi maisha ya mtu mmoja mmoja hata Ukraine ilikuwa juu ya China usifikirie juu ya Ureno
CC: Allen KilewellaHali sio nzuri Ufaransa Kumekuwa na Maandamano Nchi nzima ya Ufaransa.
Kumekuwepo na Hali ya Uvunjifu wa Haki za Binadamu ikiwemo Demokrasia
Polisi wanatumia Nguvu na Kupiga Raia Hovyo hovyo. Vyombo vya habari vingi Vimenyamanza na Huwasikii kabisa Kuhusu hili tofauti na Yanapo tokea Kwingineko.
Hapa tutaweka Video,Picha na Taarifa ya kila kinacho tokea Ufaransa
Hii ni Mapigano kati ya Waandamanaji na Polisi yaani Piga Nikupige
VIDEO
View attachment 2566184
PICHA
Polisi walivyo wapiga Raia
View attachment 2566204View attachment 2566205View attachment 2566206
In short huwezi kuitwa ulimwengu wa kwanza kama haupo kwenye kundi Lao.unajua kuwa eterminant kubwa japo sio pekee ya maisha bora ni GDP ya Nchi husika?
kuna vingine vya kipuuzi puuzi vimechomekewa kama vile sijui uhuru wa kujieleza n.k ili kuzubaisha watu
MOTOCHINI mtizamo wake kuhusu Ulaya na Marekani unajulikana, yupo "Biased"
mara zote hizo kulikuwa na sababu zake lakini msingi wa maandamano ya sasa ni cost pull Inflation iliyosababishwa na kukatika kwa supply chain ya chakula na malighafi kama gas
Tunacho Kizungumzia hapa ni
Vyomba vya Mabeberu kuwa kimya
Tunacho Zungumzia Hapa ni Raia Kupigwa Acha Porojo zisizo na Kichwa wala miguu
Labda china plazaSi, Irani tu hadi China bado ni ulimwengu wa tatu.
IRAN hua wanapigwa baada ya kuanza vurugu zao zakipuuzi
UFARANSA wanaonewa bila ya sababu
Tunacho Kizungumzia hapa ni
Vyomba vya Mabeberu kuwa kimya
Tunacho Zungumzia Hapa ni Raia Kupigwa Acha Porojo zisizo na Kichwa wala miguu