habari imefinywa na umejua?Aisee.
Halafu kuna sehemu humu jamaa ananiambia ohh Tanzania ukiandamana tu Mabuti n.k....na nimemchallenge atizame huko kama hakuna mabuti bunduki mabomu ya machozi n.k... Yaani hizi habari zimefinywa unaona habari za Odinga.
Asante kwa Taarifa
Bbc na cnn wameonesha hayo???Na serikali ya ufaransa sijasikia ikisema wafaransa wamechonganiswa na Irani ama Urusi ili wafaransa waandamane.
Internet inafanya kazi(haijazimwa), hizi picha zipo mtandaoni kote ndiyo maaana wewe ambaye haupo ufaransa umezipata.
BBC na vyombo vingine vyote vinaripoti maandamano haya.
kwann usihoji maswala ya tz kama ni sawa trafik kudai buku 2 ya chai kuliko kuhoji mambo unasikia tu na kuyaona kweny pichaSawa mimi situmii Akiki
Je Kinacho Fanywa na Polisi Ufaransa Nisawa?
umesikia wakiongea lolote juu ya kenya , SA na Tunisia?Ndugu hii Dunia Ina Unafiki sana
Hali kama Hii Ingelikuwa Shida sana Nje ya Nchi hizo
hao hupenda kulalamika kuwa USA ndo amesababishaSipati picha iwapo maandamano hayo yangekuwa Teheran au Moscow.
huyo jamaa mihemko inamsumbuaNi vyombo vipi hivyo haviripoti wakati mimi ninaifuatilia maandamano kwenye vyombo unavyosema haviripoti.
Mnatia huruma..
Hii ni tbc ama itv?
Tumeziba pamba masikioniKumekucha Maana Jirani Kenya Anatupigia Horn Wenzake
maandamano yameanzia huko kipind nyiny mnaburuzwa na wafalme zenuHuko Kwa wastaarabu kumbe Huwa wanaandamana
acha kuhamisha goli , hoja ya mwanzo ww na mr.mihemko mwenzio mlidai habari zimebinywa na jamaa kawajibu sasa hv mnahamisha magoli , nyiny kizaz cha ujamaa mna matatizo sio bureHivi we kweli Muelewa
Nimeuliza Kinacho fanywa na Polisi Nisawa
Au Haki za Raia Zinafuatwa kwenye Hayo Maandamano?
Venezuela , Syria , Afghanstan , Moldova , Georgia , Ukraine etc kote huko Urusi alijipeleka ila kipi kilikuwa kina muhusu ?Hakuna Mgogoro Dunian Ukatokea Hao wasihusike
Hao ni Vihelehele kwa Yasio wahusu
Ndio maana wanalalamikiwa
Uchina Urusi Hawanaga Muda na Mambo yasio Wahusu ndio Maana Wanapigania Uhuru wa Dunia yaani kila Taifa liwe na Uhuru wake kamili sio kupangiana.
Yanapo tokea maandamano Kwingine hao huwa wakwanza Kutoa matamko kutwa
kwamba ndo mara ya kwanza Ufaransa kuwa na maandamano ?athari ya Vita ya Ukraine imeanza kusambaa
Kwahiyo kuwaunga mkono ndo kusababisha ? kwamba mtu kusema npe haki yake ndo anapewa lawama zote au kuua binti ni sahihi ? imagine ni binti yako ? Iran waliishi vzr kabla ya AyotollahKwa hiyo maandamano ya Iran hayakuripotiwa na vyombo vya habari?
Iran ilisema nchi za Magharibi zinahusika na maandamano kwasababu nchi zote za Magharibi zilitoa tamko la kuunga mkono waandamanaji lakini mpaka sasa hatujasikia Iran ikiwaunga mkono waandamanaji wa ufaransa.
Kwelimaandamano yameanzia huko kipind nyiny mnaburuzwa na wafalme zenu
unajua taratibu za kufanya maandamano?Sasa kama ni haki yao kuandamana wann wana wapiga na kuwarushia mabomu ya machozi?
Sasa hapo wana tofauti gani na Iran unayo iita madekteta?
kwahiyo kisa Tz ni ulimwengu wa tatu bas mataifa mengine hayawez kuwa kundi hilo? ndan ya Iran kuna watu hata nguo hawabadili mpk mwaka unaisha , endelea kudanganywa na clips za tehranIran ni Ulimwengu wa 3 ?
Ngoja nikutajie baadhi ya nchi za ulimwengu wa 3.
Kenya
Tanzania
Zimbabwe
Iran yupo kundi moja na hao?
Wana haki ya kuandamana?
Mbona wanadundwa sasa, si wawaache waandamane
unahisi maisha ya mtu mmoja mmoja hata Ukraine ilikuwa juu ya China usifikirie juu ya UrenoChina inakuwa Ulimwengu wa tatu wakati huo Ureno na Spain zipo Ulimwengu wa kwanza
unajua kuwa determinant kubwa japo sio pekee ya maisha bora ni GDP ya Nchi husika?unahisi maisha ya mtu mmoja mmoja hata Ukraine ilikuwa juu ya China usifikirie juu ya Ureno
mara zote hizo kulikuwa na sababu zake lakini msingi wa maandamano ya sasa ni cost pull Inflation iliyosababishwa na kukatika kwa supply chain ya chakula na malighafi kama gaskwamba ndo mara ya kwanza Ufaransa kuwa na maandamano ?
Hii vita Sasa maana Maandamano yameamia shambani!!!Hali sio nzuri Ufaransa Kumekuwa na Maandamano Nchi nzima ya Ufaransa.
Kumekuwepo na Hali ya Uvunjifu wa Haki za Binadamu ikiwemo Demokrasia
Polisi wanatumia Nguvu na Kupiga Raia Hovyo hovyo. Vyombo vya habari vingi Vimenyamanza na Huwasikii kabisa Kuhusu hili tofauti na Yanapo tokea Kwingineko.
Hapa tutaweka Video,Picha na Taarifa ya kila kinacho tokea Ufaransa
Hii ni Mapigano kati ya Waandamanaji na Polisi yaani Piga Nikupige
VIDEO
View attachment 2566184
PICHA
Polisi walivyo wapiga Raia
ubishi kweny kilele chakeNa mimi nimekujibu Iran haijawahi kuwa third world country.......
Kuanzia matumizi sahihi ya neno third world country mpaka hii ya saiv inayotumika kuwakilisha maendeleo ya nchi husika.
Wewe unayesema hivyo uniambie ni kwanini uone iran ni 3rd country.
Reasons.........