chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Maybe is not about that...Madaraka matamu jamani! Ni matamu kuliko hata uch* 😳🙄😵
Madaraka matamu jamani! Ni matamu kuliko hata uch* 😳🙄😵
Nape amekata tamaa u radhi kwa lolote iwe heri ama shari , kitendo cha kumtolea bastola hadharani tena na mtu ambaye hajielewi kisa katumwa na asiye jielewa kina mpa mateso makali sana hasa akikumbuka kazi aliyo ifanya kwamoyo mkunjufu kuwa fitini wengine ili waliopo sasa wapate nafasi wanazo zitumia kumnyanyasa.Sijajua ilikuaje hadi mheshimiwa akawa over-came na emotions huko kwao, sijajua ni V.I.P treatment na heroic welcome aliyopipata huko kwao ukilinganisha na alivyokuwa treated Dar na kupuuziwa na mkubwa wake wa kazi au au ni remorse na guilty ya aliyoyafanya zamani au ni vipi......
Maybe is not about that...
Madaraka matamu jamani! Ni matamu kuliko hata uch* 😳🙄😵
mpumbavu huyu, kwa ujinga wake kaondolewa cheoni analia
ahame chama aende chadema kisha agombee, huwezi kuwa mpinzani wa bosi wako ukaangaliwa, yeye nani??
walijiandaa kuuondoa magufuli amegunduliwa mapema sana
na leo kathibitisha kuwa Magufuli hakukosea kabisa kabisa!
kama alikuwa na majibu ya kamati kwa nini aliunda kamati? alikuwa anampumbaza nani? mpuuzi huyu
na ndio mwisho wake, mark my words
mozes nnauye hakuwa mjinga hivi