Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaoumbuka ndio wanaonyooka.Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Huyo dada nahisi kuna namna ameweka alert thread ikianzishwa huyoo keshajibu fasta...Wanaoumbuka ndio wanaonyooka.
Huyo boya sio wa kumjibuWanaoumbuka ndio wanaonyooka.
FactKwani sasahivi tupo kwenye uchaguzi????
Halafu mnasahau sana...kwani Lowasa alipoondolewa kwenye PM si alifanya mkutano kama wa Nape? Waliompokea walikuwa ni CHADEMA????
Kumbe BASHITE alikuwa mkubwa KULIKO NAPE?mapokezi si alijiandaa ulitegemea iweje. katumbuliwa katumbuliwa tu akajifunze upya kuheshimu wakubwa zake wa kazi
Nape became the fallen soldier in CCMHuyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Kila jambo lina mwisho! Ila mengine mwisho wake ndio mwanzo wa jingine zuri. Nape: ili mbegu ya nafaka iote lazima ioze kwanzampumbavu huyu, kwa ujinga wake kaondolewa cheoni analia
ahame chama aende chadema kisha agombee, huwezi kuwa mpinzani wa bosi wako ukaangaliwa, yeye nani??
walijiandaa kuuondoa magufuli amegunduliwa mapema sana
na leo kathibitisha kuwa Magufuli hakukosea kabisa kabisa!
kama alikuwa na majibu ya kamati kwa nini aliunda kamati? alikuwa anampumbaza nani? mpuuzi huyu
na ndio mwisho wake, mark my words
mozes nnauye hakuwa mjinga hivi
Kazi ya wauza madawa ya kulevya ni kujipa moyo kama hiviHuyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.
Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.
Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.
Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.
Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.
Time will tell.
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Kupiga au kutopiga makofi sio kipimo ..Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu