Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Nape alikengeuka tu alafu utasikia haki za binadamuHahaha hapa si ndio alimvunja mgongo yule Dada? CCM buana
View attachment 2693832
CCM akili zao wanazijua wenyeweHapa Nape alikengeuka tu alafu utasikia haki za binadamu
😅😅😅Hahaha hapa si ndio alimvunja mgongo yule Dada? CCM buana
View attachment 2693832
Aibu sana kwa mama zetuCCM akili zao wanazijua wenyewe
Hapa utadhani alikuwa anaambiwa NapeSisi wapiga kura wako hapa jimboni Mtama tunakupenda sana.
Lakini wewe kama Kiongozi wetu( Mbunge) hukutakiwa kukubali huu ujinga.
Haiwezekani ukawafanyia kina mama huu upuuzi hata kama wao walikuwa tayari.
Kumbuka kuwa wewe ni kiongozi tena wa kisiasa ambaye ulitakiwa kufikiria kwanza haki za binadamu.
View attachment 2693829
Aibu sana ndani ya ccmNakazia tena,ogopa sana kundi la wajinga na sasa wanaelekea kuwa kundi la wapumbavu
Ebu tustue mkuuUnategemea nini kwa mtu mwenye akili za Nape? Umeona matokeo yake aliyopata form 4?
nilishasema na narudia tena CCM hasa vijana wao akili zao ni za kushikiwaCCM akili zao wanazijua wenyewe
Uvccm akili zao wanazijua wenyewenilishasema na narudia tena CCM hasa vijana wao akili zao ni za kushikiwa
Hawajawahi kumiliki akili?
Wacha kudanganya watuHio ni kwa mujibu wa tamaduni na mila za kwao
Usibishane na usichokijua!! Uliza utaambiwaWacha kudanganya watu
mkuu watazijuaje wakati hawana?Uvccm akili zao wanazijua wenyewe