Napenda Kukiri kwamba mimi Ni mmoja wa watu wanaopenda Maendeleo ila Nachukizwa na Maendeleo yanayokuja baada ya kuuawa kwa watu yanaumiza sana watu wanabaki Mayatima na wengine Wajane inaumiza sana..
Itafika Kipindi wananchi watachoka Kuona uonevu huu Je tuko tayri kuona Wananchi wakireact na Kuamua Kuja Juu kisa uonevu wanaofanyiwa??
Je nchi yetu utakuwaje Siku ikifanyika CiVIL war Ya sisi kwa sisi??
USHAHIDI KUHUSU NISEMACHO
Hizi ni Video kadhaa siku ya Tukio Lilipofanyika..
View attachment 2984307
View attachment 2984306
View attachment 2984304
View attachment 2984305
View attachment 2984303
Baada ya Tukio RPC AKATOA TAMKO BAADA YA TAMKO WANANCHI NAO WAKAONGEA..
View attachment 2984331
KWAKUWA TUMEONA PANDE ZOTE MBILI KUNA VITU VYA KUCHUNGUZA NA KUVIANGALIA..
KINGINE ILIANZA NGORONGORO ,SASA TARIME WAPI WANAFUATA