Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona jana amesoteshwa masaa 9 jua lake na mbu pia!Dawa ya mapoliccm ni Lissu the Great
Afukuzwe tena au tutegemee kupandishwa cheo? Huyo anatekeleza majukumu yake yasiyo rasmi ya kukitumikia chama chake cha mapinduzi kwa uaminifu mkubwa.Afukuzwe cheo huyo askari.
Hana maadili ya KAZI
Hiki chama kingekuwa kinaongozwa n LISSU kingekuwa mbali sana yaani LISSU ni mtu wa action sio maneno kama Mbowe aise
Ni kweli mkuu amemchokoza mwenyewe afisa akampa za uso!OCD atapewa Lawama bure tu.
Mbowe ndio kamchokoza "......Hata mmbebe vipi huyo mgombea hawezi kunishinda"
Mlitaka asijibu aonekane " kaufyata" kama mnavyopublish.
Akaamua kijimwagaa...Sasa atafanyaje!
Alicho kosea Afisa wa polisi ni kusema ukweli, Ata wenyewe Chadema wanajua kuna majimbo machachesana ambayo wanaweza wakashinda ndiomaana hata kwenye kura za urais waneshakata tamaaa kabisa.
Kumbe kuna kufukuzwa Cheo.Afukuzwe cheo huyo askari.
Hana maadili ya KAZI
Kwani alikuwa anawasemea wananchi?Huyo OCD ni msemaji wa wananchi?
Kwani OCD ndiye afisa uchaguzi? Au huyo OCD ndiye pekee atakayepiga kura?Kwani kasema uongo?
Akitokea na mwengine akisema CHADEMA inashinda mnamtengua kazi au sio?Kwani kasema uongo?
Ameshinda wakati amepata za uso kapigwa jua na mbu kwa muda wa masaa 9 hata alichokuwa ameplan kwenda kufanya mkutano wa hadhara akashindwa wananchi akawakuta hawapo akaende kuongea na wanasaccos chumbani. Umeelewa wewe mbumbumbu wa saccos ya chadema!!?Mwisho wa siku nani alishinda we kenge wa kijani?
Afukuzwe cheo.Afukuzwe cheo? Ndio umeandika nini sasa?