long live my love
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,064
- 1,012
Waafrika tuna laana gani?
Sijui waje tena wazungu watufundishe ustaarabu?
Sasa kwa mambo haya tulikua na sababu gani ya kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya uchaguzi?
Kwanini tusingefanyia shughuli nyingine ya maana?
Oooh Tanzania, my lovely country.
Sijui waje tena wazungu watufundishe ustaarabu?
Sasa kwa mambo haya tulikua na sababu gani ya kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya uchaguzi?
Kwanini tusingefanyia shughuli nyingine ya maana?
Oooh Tanzania, my lovely country.