Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
- Thread starter
- #81
Sasa kujisemea nafsini ni kuongea kwa sauti?Anajisemea nafsi yake akimjulisha huyo jamaa Mbowe anayejifanya mbishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kujisemea nafsini ni kuongea kwa sauti?Anajisemea nafsi yake akimjulisha huyo jamaa Mbowe anayejifanya mbishi.
Ila Mbowe yeye hakuvunja sheria kwa hicho alichomwambia Afisa au?Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo hazipaswi kuegemea upande wowote wa vyama vya siasa.Kitendo cha Afsa wako mpendwa kudai kuwa Mbowe hawezi kushinda ni amevunja sheria za uchaguzi
Comment yako inaendana sana na jina lakoNi kweli mkuu amemchokoza mwenyewe afisa akampa za uso!
Labda kiwanda cha kuchapisha hizo zaga hapo chini.Ndiyo njoo nikuajiri wewe kula kulala.
Kumbe na chat na mbumbumbu!! Basi nimeshindwa mimi!Ona tena utopolo huu unaelewa matumizi ya might?unaelewa Don't inaendana na nini?...notice the difference?[emoji3][emoji3]
Jibu hoja!Comment yako inaendana sana na jina lako
Mbowe hajavunja sheria. Mbowe kasema mpinzani wake wa CCM hawezi kushinda. Ana haki ya kusema kuwa mpinzani wake hawezi kushinda.Ila Mbowe yeye hakuvunja sheria kwa hicho alichomwambia Afisa au?
Mwl. unatuharibia lugha aisee,watoto wetu huko shuleni watakua salama kweli.?You are so hopeless ever!
Unafikiri mimi nimesoma kayumba kama wewe? Ndio maana nakusahihisha weweSema hujui kibeberu.
Kwanini amwambie afisa wa polisi?Mbowe hajavunja sheria.Mbowe kasema mpinzani wake wa CCM hawezi kushinda.Ana haki ya kusema kuwa mpinzani wake hawezi kushinda.
Hata sentensi moja imekushinda nilitegemea uwe unarudisha kibeberu basi mzungu wa Hai?Unafikiri mi nimesoma kayumba kama wewe?ndio maana nakusahihisha wewe
Amemwambia afsa wa polisi kwa sababu kwa kufanya hivyo siyo kinyume na sheria.Kama sheria inaruhusu kumwambia Afsa wa polisi na amefanya hivyo, kwani kuna shida gani?Kwanini amwambie afisa wa polisi?
Hauwezi kufukuzwa cheo, aidha ushushwe cheo au ufukuzwe kazi, hakuna kufukuzwa cheoAfukuzwe cheo.
Ati mzee wa kuratibu uporaji mabox ya kura!!Huyo OCD ni msemaji wa wananchi?
Ulitaka awe bubu au?Sasa kujisemea nafsini ni kuongea kwa sauti?
Mbowe mgombea anayezidi kuchanja mbuga.
Huyo mlopokaji wenu (OCD) hana mamlaka ya kuwapangia wanainchi mustakabali wa uchaguzi ktk ardhi ya Hai\Klmnjr\au Tanzania kiujumla.
Yeye kazi yake ni kuwalinda wapiga kura na wapigiwa kura.