Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
- Thread starter
- #101
Kujisemea nafsini maana yake ni kujifikiria wewe mwenyewe.Kwa hiyo alikuwa anatamka kwa sauti ili awezi kujisikia yeye mwenyewe?Ulitaka awe bubu au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujisemea nafsini maana yake ni kujifikiria wewe mwenyewe.Kwa hiyo alikuwa anatamka kwa sauti ili awezi kujisikia yeye mwenyewe?Ulitaka awe bubu au?
kila sehemu mbona unajamba tu mashudu ,usiandike tu bila kuwaza na kucheua pumba kama punda ,yaani unaonekana mweupe hasa ubongo unaonekana mweupe kama unga wa muhogoAlicho kosea Afisa wa polisi ni kusema ukweli, Ata wenyewe CHADEMA wanajua kuna majimbo machachesana ambayo wanaweza wakashinda ndiomaana hata kwenye kura za urais waneshakata tamaaa kabisa.
Naona jamaa zako hapo chini wamekupa like.Alicho kosea Afisa wa polisi ni kusema ukweli, Ata wenyewe CHADEMA wanajua kuna majimbo machachesana ambayo wanaweza wakashinda ndiomaana hata kwenye kura za urais waneshakata tamaaa kabisa.
Taifa la aibu!
Ni vyema na wewe umesikia.Kujisemea nafsini maana yake ni kujisemea wewe mwenyewe.Kwa hiyo alikuwa atamka kwa sauti ili awezi kujisikia yeye mwenyewe?
OCD siyo msemaji wangu. Msemaji wangu ni MboweNi vyema na wewe umesikia.
Sasa kelele nyingi za nini?OCD siyo msemaji wangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka Sana Yani na huyu afande, mpaka Sina mbavu ,au ni mtani wake na mbowe? Kaingiza utani mpaka kazini,maana naona Kuna mahala mpaka mbowe Kama alitaka kucheka
OCD hapaswi kuwa na kiherehere cha kuwa msemaji wa wananchiSasa kelele nyingi za nini?
Naam! Unasema?Ati mzee wa kuratibu uporaji mabox ya kura!!
Nimeshakuambia jamaa alikuwa anasema yake ya moyoni. Hajawasemea wananchi, mbona unakuwa mbishi kama Mbowe?OCD hapaswi kuwa na kiherehere cha kuwa msemaji wa wananchi
Ewe mwenye ubongo wa tembo, nieleweshe mimi mwenye ubongo sisimizi majukumu ya OCD (katika nyanja zote).Kichwa kikubwa, ubongo wa sisimizi
Afukuzwe na nani mkuu?Afukuzwe cheo huyo askari.
Hana maadili ya KAZI
OCD alipayuka.Nimeshakuambia huwezi kujisemea ya kwako ya moyoni kwa kupayuka!Kupayuka ni uthibitisho kuwa hakuwa anajisemea ya kwake ya moyoniNimeshakuambia jamaa alikuwa anasema yake ya moyoni. Hajawasemea wananchi, mbona unakuwa mbishi kama Mbowe?
Mbona kapayuka, tatizo liko wapi?Nimeshakuambia huwezi kujisemea ya kwako ya moyoni kwa kupayuko!
Kama wanachechemea basi mwambie Magufuli wagombea ubunge wa upinzani warudishwe wote ??Alicho kosea Afisa wa polisi ni kusema ukweli, Ata wenyewe CHADEMA wanajua kuna majimbo machachesana ambayo wanaweza wakashinda ndiomaana hata kwenye kura za urais waneshakata tamaaa kabisa.