Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
- Thread starter
- #141
Point yangu ni kwamba CCM wanalitumia jeshi la polisi kama pedi za kike katika kufanikisha uchafu waoAisee nenda kwa Amsterdam kashitaki, si una wakili au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point yangu ni kwamba CCM wanalitumia jeshi la polisi kama pedi za kike katika kufanikisha uchafu waoAisee nenda kwa Amsterdam kashitaki, si una wakili au?
Sometimes so kwamba waliopo ni waliofeli but ni jeuri na kiburi cha mamlaka, hivyo wanafanya watakavyo wakijua kuwa hakuna madhara!Ajira ya uakari ifike mahali wasiariwe watu waliofeli feli hovyo mashuleni
Mkuu haupo sahihi ..huwezi kuwa askari tena kqzini then unajihusisha na siasa tena inekatazwa..ndio maana kila kazi ina maadili yake.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake haijalishi kazi anayofanya ...
Nenda kawalalamikie.Point yangu ni kwamba CCM wanalitumia jeshi la polisi kama pedi za kike katika kufanikisha uchafu wao
OK,thanks!Hiyo utajua mwenyewe.
Mkuu achana nae Huyo atakuchosha. Nimeangalia michango yake humu hakuna haja hata ya kujibu hoja zake(ni za kishabiki)Point yangu ni kwamba CCM wanalitumia jeshi la polisi kama pedi za kike katika kufanikisha uchafu wao
Ukimsikiliza huyu Afande arafu ukamsikiliza na yule wa jana wa Pwani (Kwa lisu) basi utaelewa kuwa Serikali imelidhalilisha saana jeshi la polisi kwa kupeleka watu wasiojiweza hata kidogo.Katika hali ya kushangazi OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu....
Ni suala la kuchukua majina yote matatu ya huyo OCD , huyu amechoka kazi .Katika hali ya kushangazi OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu...
View attachment 1593384
Point ni kwamba Mbowe hakuvunja sheria kwa alichokisema ila OCD amevunja sheria kwa alichosema.Hiyo ndiyo tofauti kati ya Mbowe na OCD.Kwann watu hawataki kuona Mbowe alichomwambia OCD kwamba hata mumbebe vp mhombea wenu hashindi?alim provoke OCD hadharani na kilichofanyika naye amejibu mapigo sasa kipi cha ajabu?kama mbwai na iwe mbwai
CCM in angola nchi ni mwkaa WA 50 huu lakni mpaka leo ni maskini wa kutupwa kila siku kuomba mabeberuMmesema sana uwongo, sio polisi tu hata wananchi wengi wa Hai wamewachoka.
Kwa miaka 20 watu wa Hai wanaambiwa Mgombea wa Chadema ndio atakuwa Rais, hii ndio matokeo yake wananchi wamechoka kuambiwa kitu ambacho hakitokei.
Kila uchaguzi wananchi wanaambiwa kuwa Chadema inashinda Urais.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni suala la kuchukua majina yote matatu ya huyo OCD , huyu amechoka kazi .
Mzee tatizo hapa siyo OCD kusema ukweli au uongo.Tatizo hapa ni uvunjifu wa sheriaNDO UKWELI HUO