Na Mbowe ni Afisa Uchaguzi?Kwani OCD ndiye afisa uchaguzi? au Huyo OCD ndiye pekee atakayepiga kura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mbowe ni Afisa Uchaguzi?Kwani OCD ndiye afisa uchaguzi? au Huyo OCD ndiye pekee atakayepiga kura?
Yaani uko ushenzini Chato halafu unatuambia habari za pwani aise kumbe usukuma ni kabila la kijinga kiasi hiki...uliza watu wa mjini watakwambia mchunga mbuzi weweAmeshinda wakati amepata za uso kapigwa jua na mbu kwa muda wa masaa 9 hata alichokuwa ameplan kwenda kufanya mkutano wa hadhara akashindwa wananchi akawakuta hawapo akaende kuongea na wanasaccos chumbani. Umeelewa wewe mbumbumbu wa saccos ya chadema!!?
Mwache atalia na kusaga menoHuyo afande hana akili sawa sawa.
Hajui dhamana ya cheo chake wala wajibu wake. Anadhani CCM inampenda sana kwa kujaribu kujipendekeza, kumbe inamtumia kama Condom.
Ajifunze kwa waliomtangulia, ambao walitumika na kisha kutupwa kama uchafu.
Ila Mbowe yeye anaweza kumwambia Afisa kuwa atashinda hata wakimbeba mgombea wa ccm au? Mbowe ameyataka mwenyewe basi ayaoge!Polisi anawezaje kusema Mgombea wa chama fulani hashindi, Huu si mpango wa kuvuruga uchaguzi?
Mbowe anaruhusiwa kusema lolote ila mradi asivunje sheria. Mbowe kumwambia Afsa masuala ya ushindi wake hajavunja sheria yoyote lakini Afsa kusema kuwa Mbowe hawezi shinda amevunja sheria. Hiyo ndiyo tofauti ya Mbowe na Afsa. Nani kilaza hapo?Kwanini Mbowe alikuwa anamwambia huyo Afisa maswala ya ushindi wake? Hivyo Afisa amemjibu sahihi kabisa! Aliyataka mwenyewe!
OCD atapewa Lawama bure tu.
Mbowe ndio kamchokoza "......Hata mmbebe vipi huyo mgombea hawezi kunishinda"
Mlitaka asijibu aonekane " kaufyata" kama mnavyopublish.
Akaamua kijimwagaa...Sasa atafanyaje!
Tatizo ni Polepole, sijui hii ‘propaganda team’ yake anawaikotaga wapi!! Polisi amewaaribia, kwa kuropoka asicho paswa, nyie mnashangilia tu! Polisi pale kaweka tiki kwamba, maneno yanayo semwa kwamba mnatumia dola kushinda ni kweli!Kwani kasema uongo?
Kwanini mnapiga magoti jukwaani?Alicho kosea Afisa wa polisi ni kusema ukweli, Ata wenyewe Chadema wanajua kuna majimbo machachesana ambayo wanaweza wakashinda ndiomaana hata kwenye kura za urais waneshakata tamaaa kabisa.
Mimi niko Mbezi Beach na kwa sasa napata bia hapa Amsterdam Pub. Unafikiri mimi ni sawa na wewe kula kulala njoo nikuajiri kwenye kampuni yangu!Yaani uko ushenzini Chato halafu unatuambia habari za pwani aise kumbe usukuma ni kabila la kijinga kiasi hiki...uliza watu wa mjini watakwambia mchunga mbuzi wewe
Mbowe mgombea anayezidi kuchanja mbuga.Na Mbowe ni Afisa Uchaguzi?
Punguani mkubwa wewe yaani nyie misukuma mmekuja mjini juzi manajifanya wajanja ushamba wenu wa kuchunga mbuzi huwa haupotei kenge weeeWewe mbumbumbu mimi niko Mbezi Beach na kwa sasa napata bia hapa Amsterdam Pub. Unafikiri mimi ni sawa na wewe kula kulala njoo nikuajiri kwenye kampuni yangu!
Mbowe anaruhusiwa kusema lolote ila mradi asivunje sheria. Mbowe kumwambia Afisa masuala ya mbunge wa CCM hawezi shinda hajavunja sheria yoyote lakini Afisa kusema kuwa mbowe hawezi shinda amevunja sheria. Hiyo ndiyo tofauti ya Mbowe na Afisa.Nani kilaza hapo?OCD atapewa Lawama bure tu.
Mbowe ndio kamchokoza "......Hata mmbebe vipi huyo mgombea hawezi kunishinda"
Mlitaka asijibu aonekane " kaufyata" kama mnavyopublish.
Akaamua kijimwagaa...Sasa atafanyaje!
Sheria ipi wewe?Mbowe anaruhusiwa kusema lolote ila mradi asivunje sheria. Mbowe kumwambia Afisa masuala ya ushindi wake hajavunja sheria yoyote lakini Afisa kusema kuwa Mbowe hawezi shinda amevunja sheria. Hiyo ndiyo tofauti ya Mbowe na Afisa. Nani kilaza hapo?