mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mzee tatizo hapa siyo OCD kusema ukweli au uongo.Tatizo hapa ni uvunjifu wa sheria
Mbeleko ya chama mbogamboga kazini,wanazidi kumvurugia bosi wao,mwisho wao 28/10/2020.Wote turudie kuwaambia kwa sauti.Afukuzwe cheo huyo askari.
Hana maadili ya KAZI
This is a disgrace to CCM and its police force. This is a justification that the election will not be fair and free. The country is vulnerable to mass unrest.Katika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai.
Ikumbukwe kuwa Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu....
Huyo tumfuatilie siku ya Kura, huenda anampango wa ushindi alipoandaa.Huyo OCD ni msemaji wa wananchi?
Mwite Bia yetu na yeye acommentHakuna cha aibu hapo
Huo ndo ukweli
Du! Pole sana. Yaani Pole! Huoni?Alicho kosea Afisa wa polisi ni kusema ukweli, Ata wenyewe CHADEMA wanajua kuna majimbo machachesana ambayo wanaweza wakashinda ndiomaana hata kwenye kura za urais waneshakata tamaa kabisa.
OCD wa Hai+DC wa Hai = CCM. Tume huru ya uchaguzi mnafahamu hii hisabatiTaifa la aibu!
Unaijua Hai wewe? Unawajua watu wa Hai?Mmesema sana uwongo, sio polisi tu hata wananchi wengi wa Hai wamewachoka.
Kwa miaka 20 watu wa Hai wanaambiwa Mgombea wa CHADEMA ndio atakuwa Rais, hii ndio matokeo yake wananchi wamechoka kuambiwa kitu ambacho hakitokei.
Kila uchaguzi wananchi wanaambiwa kuwa CHADEMA inashinda Urais.
Kwetu wanaokosea wanazawadiwa,maendeleo kwetu Yana ubaguzi na vyama.Huyu kada si ajabu kuteuliwa u igp
Ukuona aibu alivyozomewa akiondoka..! Bado kumbe hujapona magonjwa yako.. [emoji23] [emoji23]Kwani kasema uongo?
Wewe unaona ni sahihi CCM kulitumia jeshi la polisi kuficha mauchafu yao ya kugandamiza democrasia hapa nchini?Kavunja sheria Ila kasema ukweli.
Kama hamtaki ni nyie
Maana ccm ndo nec. ndo POLISI ndo jwtz
Chuki za huyu polisi mjinga ndiyo chuki za kila mwananchi wa Hai? Mbona wananchi wamemuzomea? Don't be an idiot.Mmesema sana uwongo, sio polisi tu hata wananchi wengi wa Hai wamewachoka.
Kwa miaka 20 watu wa Hai wanaambiwa Mgombea wa CHADEMA ndio atakuwa Rais, hii ndio matokeo yake wananchi wamechoka kuambiwa kitu ambacho hakitokei.
Kila uchaguzi wananchi wanaambiwa kuwa CHADEMA inashinda Urais.
Kwani yeye ndio mpiga kuraKwani kasema uongo?
CCM bila polisi hawawezi we si unaona walivyopoteana majukwaani hawawezi bila msaada wa polisiWewe unaona ni sahihi CCM kulitumia jeshi la polisi kama pedi za kike katika kuficha mauchafu yao ya kugandamiza democrasia hapa nchini?
Yaani mimi siipendi CCM, na natamani waharibu na kuharibinkiwa, lakini pamoja na hayo yule OCD kanikwaza kwa kiwango chake cha kukosa weledi!! Amewharibia sana ccm! Mbowe kamchokoza kidogo tu, kaingia kichwa kichwa! Zero anatakiwa amtumbue kwa kushindwa kuipigania CCM kiueledi!Mbowe anaruhusiwa kusema lolote ila mradi asivunje sheria.Mbowe kumwambia Afsa masuala ya mbunge wa CCM hawezi shinda hajavunja sheria yoyote lakini Afsa kusema kuwa mbowe hawezi shinda amevunja sheria.Hiyo ndiyo tofauti ya Mbowe na Afsa.Nani kilaza hapo?
Huyo OCD CCM atakuwa anajua mikakati ya wizi iliyopangwa na ccm wakishirikiana na policcmKatika hali ya kushangaza OCD wa Hai ameonekana akimwambia Mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi katika jimbo la Hai...