Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii haijawahi kutokea
Mkuu kwani kuzindua kampeni unapika na wali??Mkuu atakayeapishwa ni JPM, mwaka 2015 Kuna mafala tulibet nikawapiga ela nyingi, waliamini Lowassa atakuwa Raisi,mwaka huu bado natafuta fala ajipendekeze akiamini Lissu anaweza kuwa Raisi. Iwe mvua iwe jua, Lissu hawezi kuwa Raisi wa nchi hii, na soon pesa ya kampeni inakata. Lowassa na kujiandaa kote September katikati 2015 alianza kuomba michango, Lissu hata pesa za uzinduzi wa kampeni sijui Kama zitakuwepo. Hakuna mtu atakayewekeza kwa mtu ambaye tayari kashafeli.
Hakuna aliyesema Tume ni huru. Magu kaahidi mwenyewe uchaguzi huru na wa haki. Tunataka ajikaange kwa mafuta yake, mbele ya watanzania na mbele ya dunia. Za mwizi 40 shekhe.Nyie jamaa ndo maana mliitwa NYUMBU, hapo tayari mmeshaona Tume ni huru. Hujui mnasetiwa ili mpigwe vizuri, hao wamepewa hayo maelekezo kwasababu maalum. Subiri siku watakayosimamia mabox ya kura ndo utawajua rangi zao halisi. Badala ya kudili na Mambo ya msingi mnakalia upuuzi wa mafuriko na misemo yenu ya kis.enge eti mbeba maono.
Shetani sio mkubwa kuliko MunguMsipost picha za ummati ukimfurahia Lissu shetani hapendi kumwona Lissu akiwa hai
Mwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Nyie jamaa ndo maana mliitwa NYUMBU, hapo tayari mmeshaona Tume ni huru. Hujui mnasetiwa ili mpigwe vizuri, hao wamepewa hayo maelekezo kwasababu maalum. Subiri siku watakayosimamia mabox ya kura ndo utawajua rangi zao halisi. Badala ya kudili na Mambo ya msingi mnakalia upuuzi wa mafuriko na misemo yenu ya kis.enge eti mbeba maono.
Lakini angaa mmepata ushahidi kuntu sasa kwamba projekti ya Magufuli ya kuua upinzani ifikapo 2020 imefeli vibaya sana. Walionufaika nayo ni wajasariamali wa kisiasa (wabunge na madiwani walionunuliwa kutoka vyama vya upinzani). Upinzani sio usaliti, upinzani sio wabunge au madiwani. Upinzani ni wananchi wenye fikra mbadala wakitafuta jukwaa la kuelezea fikira zao mbadala.Nyie jamaa ndo maana mliitwa NYUMBU, hapo tayari mmeshaona Tume ni huru. Hujui mnasetiwa ili mpigwe vizuri, hao wamepewa hayo maelekezo kwasababu maalum. Subiri siku watakayosimamia mabox ya kura ndo utawajua rangi zao halisi. Badala ya kudili na Mambo ya msingi mnakalia upuuzi wa mafuriko na misemo yenu ya kis.enge eti mbeba maono.
Na uzuri ni kuwa hii ya Lissu ni kipindi cha kutafuta wadhamini tu. Kampeni zikianza tarajia nyomi zaidi ya hii ya slaaMwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Umefichua hisia zako za ndani kumbe unaukubali upinzani, unatetea upande ule ili upate kuishi,Nyie jamaa ndo maana mliitwa NYUMBU, hapo tayari mmeshaona Tume ni huru. Hujui mnasetiwa ili mpigwe vizuri, hao wamepewa hayo maelekezo kwasababu maalum. Subiri siku watakayosimamia mabox ya kura ndo utawajua rangi zao halisi. Badala ya kudili na Mambo ya msingi mnakalia upuuzi wa mafuriko na misemo yenu ya kis.enge eti mbeba maono.
Kwa hiyo wewe ndio mweka hazina wa Chadema au mhasibu. You're very useless.Mkuu atakayeapishwa ni JPM, mwaka 2015 tulibet nikawapiga ela nyingi, waliamini Lowassa atakuwa Rais, mwaka huu bado natafuta ajipendekeze akiamini Lissu anaweza kuwa Raisi. Iwe mvua iwe jua, Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, na soon pesa ya kampeni inakata...
Mtajua hamjui mwaka huu. System ya mwaka huu ni nguvu ya Umma tu!!Hapa jamaa wanaiona ikulu kama yao vile. Subiri "kivuitu system" ifanye kazi
Lisu ameanza kampeni mapema kinyume na sheria za uchaguzi.
Hapa wapi jamani?
Mkuu upinzani umekuwa ukishinda toka 1995, kinachofanyika nape ametoboa Siri, wakubwa hukutana kupanga matokeo,Mkuu atakayeapishwa ni JPM, mwaka 2015 tulibet nikawapiga ela nyingi, waliamini Lowassa atakuwa Rais, mwaka huu bado natafuta ajipendekeze akiamini Lissu anaweza kuwa Raisi. Iwe mvua iwe jua, Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, na soon pesa ya kampeni inakata.
Lowassa na kujiandaa kote September katikati 2015 alianza kuomba michango, Lissu hata pesa za uzinduzi wa kampeni sijui kama zitakuwepo. Hakuna mtu atakayewekeza kwa mtu ambaye tayari kashafeli.