Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #41
Walioweka video hii mitandaoni hawakusema ni wapi.Hapa wapi jamani?
Nimefuarilia hiyo ni jana Mikumi,Morogoro wakati akiwa njiani kwenda Iringa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walioweka video hii mitandaoni hawakusema ni wapi.Hapa wapi jamani?
Wakati huo ilikuwa mkiiba kura wanamuachia Mungu.Mwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Jipe MoyoMwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Morogoro hiyo Jana. Ni hatareeeeWalioweka video hii mitandaoni hawakusema ni wapi.
we nani mpaka uwapangie watu cha kuandikaNyie jamaa ndo maana mliitwa NYUMBU, hapo tayari mmeshaona Tume ni huru. Hujui mnasetiwa ili mpigwe vizuri, hao wamepewa hayo maelekezo kwasababu maalum. Subiri siku watakayosimamia mabox ya kura ndo utawajua rangi zao halisi. Badala ya kudili na Mambo ya msingi mnakalia upuuzi wa mafuriko na misemo yenu ya kis.enge eti mbeba maono.
Na kwa sababu ya ukichwa maji wako unaamini katika miujiza[emoji23][emoji23]kwa sababu ya elfu 7 unaamini Katika pesa !
Mungu kasimama upande wa LISSU hata wakusanye wapiga manyanga Mungu yuko kwa LISSU TU
Umemjibu vizuri sana huyu nyumbu.yani mtu asome vitabu vyote hivyo na majukumu yake yakazi yawe palepale kana sio uongo huo[emoji23]Vitabu 500 kwa mwaka ni sawa na vitabu 42 kwa mwezi, sawa na vitabu 10 kwa wiki. Na wewe unaamini hii story ya kusadikika ya Zitto!??, Hivyo vitabu vina page ngapi mpaka mtu asome vitabu zaidi ya 10 kwa siku 7?, Kumbe ndo maana mnadanganywa kirahisi na wanasiasa.
Eti pesa inakata! Hivi unadhani sasa hivi ni kama zamani? Kijana asiye ajira miaka mitano toka atoke chuo, mstaafu anayesotea mafao, mkulima asiye furaha au mfanyabiashara aliyefunga biashara kwa kunyanyashwa na TRA pia mtumishi asiyepanda daraja au mshahara hao wote wanasubiri kumuona Diamond au TOT jukwaani ndio kutoa kura?Mkuu atakayeapishwa ni JPM, mwaka 2015 tulibet nikawapiga ela nyingi, waliamini Lowassa atakuwa Rais, mwaka huu bado natafuta ajipendekeze akiamini Lissu anaweza kuwa Raisi. Iwe mvua iwe jua, Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, na soon pesa ya kampeni inakata.
Lowassa na kujiandaa kote September katikati 2015 alianza kuomba michango, Lissu hata pesa za uzinduzi wa kampeni sijui kama zitakuwepo. Hakuna mtu atakayewekeza kwa mtu ambaye tayari kashafeli.
Vijijini ambako Kuna asilimia 80 ya wananchi kuna Chadema?Ndio hawa waliokuwa wanasema upinzani/CHADEMA imekufa!!!
Ukimiliki gari na nyumba wewe ni tajiri na una amani wewe ni tajiri.Sawa tajiri wa kwanza duniani anayeshinda mitandaoni. Niliwahi kukwambia nyie ndo huwa mkimiliki Brevis au Kluger, na kumiliki nyumba moja Mwanjelwa Mbeya mnaanza kujitangaza matajiri. Narudia hakuna tajiri duniani anayeshinda mitandaoni. Hata mmiliki wa Facebook ni tajiri Ila humkuti Facebook akipost 24/7 Kama wewe humu JF. Kitendo cha kukesha jukwaa la siasa ukiamini Lissu atakuwa Raisi tayari kinakuondolea sifa za kuwa tajiri. Automatically unakuwa mtegemea miujiza. Na hakuna tajiri hata mmoja anayetegemea miujiza.
Mungu alipanga mwisho wa CCM kwa namna ambayo akili ya mwanadamu haiwezi kuelewa kirahisi. Aliamua aje mtu mgeni kwenye chama (Magufuli) ambaye atawanyang'anya chama wakongwe (Makamba, Kinana, Kikwete, Membe nk) na kuingiza watu wake wapya (Bashiru, Makonda, Polepole).
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Nyomi inasaidia niniNa uzuri ni kuwa hii ya Lissu ni kipindi cha kutafuta wadhamini tu. Kampeni zikianza tarajia nyomi zaidi ya hii ya slaa
Huu ni ukweli mchungu kwa asilimia 100.Hongera sana kwa kuona hili.Mungu alipanga mwisho wa CCM kwa namna ambayo akili ya mwanadamu haiwezi kuelewa kirahisi. Aliamua aje mtu mgeni kwenye chama (Magufuli) ambaye atawanyang'anya chama wakongwe (Makamba, Kinana, Kikwete, Membe nk) na kuingiza watu wake wapya (Bashiru, Makonda, Polepole)....
Wajinga ndio waliwao
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Msipoiba au kutumia polisi mwaka huu mtabaki na majengo tuMwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Wee jamaa ni lofa kwelikweli kumbe hujui kuwa ushindi wenu unatokana na wiziMwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Hii ni kuonesha kukubalika kwa cdm, na siyo tayari imeshindaNyie jamaa ndo maana mliitwa NYUMBU, hapo tayari mmeshaona Tume ni huru. Hujui mnasetiwa ili mpigwe vizuri, hao wamepewa hayo maelekezo kwasababu maalum. Subiri siku watakayosimamia mabox ya kura ndo utawajua rangi zao halisi. Badala ya kudili na Mambo ya msingi mnakalia upuuzi wa mafuriko na misemo yenu ya kis.enge eti mbeba maono.