wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Kuna kitu wameshtukia tangu arudi ndio maana akina bashiru na polepole hutokaa usikie wakimponda au kumwongelea kwa ubayaHakika kuna Nguvu ya Mungu(Power of Nature) iliyo nyuma ya Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu wameshtukia tangu arudi ndio maana akina bashiru na polepole hutokaa usikie wakimponda au kumwongelea kwa ubayaHakika kuna Nguvu ya Mungu(Power of Nature) iliyo nyuma ya Lissu.
This time CCM is gone. Hata hao Police na NEC wana ndugu zao upinzani na wanaona wanavyodhulumiwa. Nini JPM bana? Kulikuwa na wababe kama Omar Bashir wa Sudan ambaye alipanga safu zote za Jeshi na Polisi wapambe na ndugu zake ili asipinduliwe.2010 hadi 2015 wenzio walitoa hadi sadaka za shukrani kwa kusema Mungu alimuweka kikwete ccm ili ifie mkononi mwake
Jibu la kilichotokea muulize EL
Mungu huyu huyu mliemkataa kipindi cha maombi ya corona?Mamlaka hutoka kwa Mungu subiri utaamini hayo maneno ikifika tarehe 28/10
Emdelea kuotaThis time CCM is gone. Hata hao Police na NEC wana ndugu zao upinzani na wanaona wanavyodhulumiwa. Nini JPM bana? Kulikuwa na wababe kama Omar Bashir wa Sudan ambaye alipanga safu zote za Jeshi na Polisi wapambe na ndugu zake ili asipinduliwe. Lakini mwaka jana mdada wa miaka 21, mwanafunzi wa mwaka wa 2 Chuo Kikuu aliongoza mapambano yaliyowazindua Jeshi na Polisi wakaelewa na wakamtosa Omar Bashir.
Nyie jamaa ndo maana mliitwa NYUMBU, hapo tayari mmeshaona Tume ni huru. Hujui mnasetiwa ili mpigwe vizuri, hao wamepewa hayo maelekezo kwasababu maalum. Subiri siku watakayosimamia mabox ya kura ndo utawajua rangi zao halisi. Badala ya kudili na Mambo ya msingi mnakalia upuuzi wa mafuriko na misemo yenu ya kis.enge eti mbeba maono.
Mwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Kwahiyo chadema hakijafa?Mwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Lissu akiamua kujikita kwenye Sera hakuna mwenye shida naye, Maendeleo hayana chama
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Umefanya situational analysis? Fanya ufanyalo upepo huu wa Lissu unaenda kung'oa mbuyu!Nlikuwa nakuzibua tu hizo akili kwamba mafuriko si lolote!
Kabisaa Mkuu na mimi nimetuma kreti 5 za lagaPolice mikumi agiza kinywaji nakuja kulipa
Umefanya situational analysis? Fanya ufanyalo upepo huu wa Lissu unaenda kung'oa mbuyu!
Hayo ndio anayotaka Lissu na akidhani wote ni wapiga kura. Wengi, hasa watu wa mijini kama Morogoro wamekuja kushangaa "alivyofufuka baada ya shambulizi "la ndani".
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
NIMEIPENDA HII LINK AMBAYO NI COMPARISON MURUA YA YALE YA 2010 NA HAYA YA 2020. LETENI NA ILE LINK YA 2015 YA LOWASSA ILI LISSU AIONE NA AILINGANISHE NA HIZI ZAKE ZA KITOTO!Mwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Pole utabakia kutoa povu tu rais ni Magufuli tu.Ndio mjue siku zote huwa mnashinda kwa wizi/ hila na si vinginevyo.
Acha uongo weee umeanza kufuatilia siasa lini?Hii haijawahi kutokea
Huu ndiyo ukweli, wanataka kumshuhudia ni yeye, hata mamvi ENL alifikiri watu wanataka kumuona yeye kumbe watu walikuwa wanataka kuona helicopter inavyotua na kuondoka.Hayo ndio anayotaka Lissu na akidhani wote ni wapiga kura. Wengi, hasa watu wa mijini kama Morogoro wamekuja kushangaa "alivyofufuka baada ya shambulizi "la ndani".
Tatizo ni katiba mbovu hasa sehemu ya tume ya uchaguzi.Nlikuwa nakuzibua tu hizo akili kwamba mafuriko si lolote!