900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
hakika kwa mwendo huu tunakoelekea ni kuzuri, Polisi wetu wasimamie haki,sheria na katiba
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakika kwa mwendo huu tunakoelekea ni kuzuri, Polisi wetu wasimamie haki,sheria na katiba
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Utateseka sana mpaka ifike hiyo octoba,angalia tusijekuzika kwa pressure!Subiri oktoba
Nlikuwa nakuzibua tu hizo akili kwamba mafuriko si lolote!
ila CCM nimewavulia kofiaMwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663
Sawa tajiri wa kwanza duniani anayeshinda mitandaoni. Niliwahi kukwambia nyie ndo huwa mkimiliki Brevis au Kluger, na kumiliki nyumba moja Mwanjelwa Mbeya mnaanza kujitangaza matajiri.
Narudia hakuna tajiri duniani anayeshinda mitandaoni. Hata mmiliki wa Facebook ni tajiri Ila humkuti Facebook akipost 24/7 Kama wewe humu JF. Kitendo cha kukesha jukwaa la siasa ukiamini Lissu atakuwa Raisi tayari kinakuondolea sifa za kuwa tajiri.
Automatically unakuwa mtegemea miujiza. Na hakuna tajiri hata mmoja anayetegemea miujiza.
Mchawi wewekwa sababu ya elfu 7 unaamini Katika pesa !
joined 24 june 2020Mchawi wewe
Mungu alipanga mwisho wa CCM kwa namna ambayo akili ya mwanadamu haiwezi kuelewa kirahisi. Aliamua aje mtu mgeni kwenye chama (Magufuli) ambaye atawanyang'anya chama wakongwe (Makamba, Kinana, Kikwete, Membe nk) na kuingiza watu wake wapya (Bashiru, Makonda, Polepole).
Hawa wapya kwa namna yake watakivuruga chama na misingi yake kwa maagizo yake Mafufuli. Wataleta chuki na maovu kama utekaji (Mo Dewji, Roma ) na uuaaji (Ben Sanane, Azory Gwanda nk).
Halafu watamshambulia mmoja wa viongozi wa upinzani (Lissu) kwa risasi za bunduki ya vita lakini mtu huyo hatokufa. Nchi nzima itashangaa namna mtu huyo alivyoshambuliwa, kunyimwa matibabu, kunyang'anywa mshahara kisha kufukuzwa ubunge.
Wanaposhangaa hayo na kumhurumia ndiyo watataka awe Rais wao wa 2020-25. Mungu ana sababu kwa kila jambo. Mwisho wa CCM ni mwaka huu. Alilopanga Mungu Binadamu hawezi kubadilisha. Hata kama NEC itaiba kura na kumtangaza Maguduli, nguvu ya umma itamtoa tu Ikulu. Wananchi wamechoka maonezi, dhuluma, ukandamizaji, ubaguzi na dharau
Hakuna tajiri anayeshinda Jukwaa la Siasa Jamii Forums masaa 24, hata wanasiasa waliopata mafanikio makubwa kiuchumi hawashindi JF jukwaa la siasa wakipost threads za utumbo 24/7 hawapo. Hawa wanaoshinda humu ni wachumia tumbo tu wanaotafuta kutoka kimaisha kupitia Siasa huku wakijaa ushabiki wa vyama. Niliyemjibu ameelewa.Usi krem maisha ...mtu anaweza akawa busy na mitandao we unapambana lakin humfikii na maisha yake hata kidogo...maisha ni siri nzito sana
Kitendo cha yeye kuzunguka nchini, akifanya mikutano ya hadhara kabla ya kampeni, anajua ni kuvunja sheria ya uchaguzi (2010). Kama alitegemea angezuiwa ili apate pa kutokea, lengo lake limekwama.
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Watakuwa wameelewa kusoma a e i o u! mwaka huu Lissu anaua mtu! Ni mpumbavu tu ndiye atasema CHADEMA walikosea kumteua Lissu kuwa mgombea wa kitu cha Rais wa JMT! Hapo kampeni hazijaanza na hatujatema cheche! Mwaka huu Magu mpaka ajambe cheche jukwaani!!
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Nani alikudanganya Lowassa alishindwa kura?View attachment 1541686
unaeza kuamini huyu jamaa alishindwa kura na hatimae akarudi ccm, kuna kuku yeye anaropoka tu huko mtaani saaahv
Tunalitaka lichama la shetani wa kijani liache kutoa maelekezo kwa jeshi letu la polisi! Polisi ni ndugu zetu, wamechoka kutumikishwa na watawala kwa maslahi ya genge moja la uhalifu la kijani!
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Halafu majitu yanakuja kusema magufuli mcha MUNGU !!, kuingia madarakani kwa wizi wa kura halafu unaenda kuwa sugarcoat viongozi wa dini ??!!Ndio mjue siku zote huwa mnashinda kwa wizi/ hila na si vinginevyo.
Hata amzingire pande zote Lissu hawi raisi. Screen shoot hii ubaki nayo kama kumbukumbu.Mungu kasimama upande wa Lissu hata wakusanye wapiga manyanga Mungu yuko kwa Lissu tu.
Nani alikudanganya Lowassa alishindwa kura?
Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
Mwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,
Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
[emoji116][emoji116]View attachment 1540660View attachment 1540661View attachment 1540662View attachment 1540663